TECNO J8 on sale

TECNO J8 on sale

BARON99

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2017
Posts
4,720
Reaction score
5,324
Ninauza Tecno J8 ina kama mwezi since imenunuliwa ila uchumi umebana so sina namna.
Anayehitaji anicheki Pm, napatikana Dar maeneo ya Ubungo
 
Una uhakika ni bei ya dukani??
Sina hakika ila, niliwahi kwenda duka moja la simu pale k'koo niliuziwa C8 kwa 250000 sasa sijui bei ya wapi hiyo. Lakini nisamehe tu maana bei hutofautiana kutokana na mtu mwenyewe na eneo alipo
 
Sina hakika ila, niliwahi kwenda duka moja la simu pale k'koo niliuziwa C8 kwa 250000 sasa sijui bei ya wapi hiyo. Lakini nisamehe tu maana bei hutofautiana kutokana na mtu mwenyewe na eneo alipo
C8 ni ndogo kuliko J8. C8 ina ram 1gb while J8 ina ram 2gb ina 16gb internal memory na 13 mp ya camera inayoifanya kuwa na picha nzuri zisizo na kifani. Bei ya J8 mpya dukani kwa sasa imeshuka k/koo inauzika 350000-320000. Niliyo nayo mimi imetumika km mwezi tyu so ni bei ya kutupa nauza
 
Back
Top Bottom