Tecno F7 (Phantom A) vs Samsung Galaxy S2

Tecno F7 (Phantom A) vs Samsung Galaxy S2

Taylor Gang Jr

Senior Member
Joined
Jul 2, 2013
Posts
131
Reaction score
7
Habari za asubuhi wakuu...naombeni msaada wenu wakuu,kati ya hizo simu mbili kutokana na specification zake,ipi ni nzuri sana kuliko nyingine na kwann???
 
Kwa kweli Mi sina unajimu nazo sana ila kwa ushauri tu ni bora sana uitumie Nokia hata N73 kama hii yangu! Ama kuwa mpole wadau waamuke!

Kha ha ha ha ha haaaaaaa! Ni utani ninapita tu!
 
mbona mlishaambiwa msifanye comparison kati ya tecno na samsung?kutokana na elimu niliyoipata sina hamu tena na tecno.material yanayotumika kutengeneza simu za tecno ni very cheap kwa hiyo wanatuibia kwa kutuuzia simu zao kwa gharama kubwa.mimi nimeongoka na muda si mrefu navuta galaxy yangu itakayonifaaa
 
Habari za asubuhi wakuu...naombeni msaada wenu wakuu,kati ya hizo simu mbili kutokana na specification zake,ipi ni nzuri sana kuliko nyingine na kwann???
Ingia GSMARENA.COM ;kuna ulinganifu wa simu mbalimbali. Pia simu utakayoikuta kati ya hizo mbili ndio simu ya kununua.
 
Habari za asubuhi wakuu...naombeni msaada wenu wakuu,kati ya hizo simu mbili kutokana na specification zake,ipi ni nzuri sana kuliko nyingine na kwann???

tecno sio sim mkuu,ni likifaa linaloweza kukuwezesha kuzungumza na mtu alie mbali,wala usijaribu kuifananisha na sim yoyote,bora kuishi bila sim kuliko kuonekana nina tecno.
 
tecno sio sim mkuu,ni likifaa linaloweza kukuwezesha kuzungumza na mtu alie mbali,wala usijaribu kuifananisha na sim yoyote,bora kuishi bila sim kuliko kuonekana nina tecno.

no research no right to speak
 
  • Thanks
Reactions: KUN
tecno sio sim mkuu,ni likifaa linaloweza kukuwezesha kuzungumza na mtu alie mbali,wala usijaribu kuifananisha na sim yoyote,bora kuishi bila sim kuliko kuonekana nina tecno.
wewe ni mpuuzi sana hebu niambie nini uchofanya na sm yako ambocho kwenye techno nichaajabu yambafuuuu wewe
 
wewe ni mpuuzi sana hebu niambie nini uchofanya na sm yako ambocho kwenye techno nichaajabu yambafuuuu wewe

Naomba nitumie mfano mwepesi au rahisi ili akili yako iweze kunielewa

1. KUFIKIRI. sote n binadam ila tuna uwezo tofauti wa kuelewa na kufikiri,uwezo wa kufikiri na kuelewa kwa mfano Albert Einsteen sio sawa na wa Nape nauye ingawa wote n binadam,hvyo hvyo tecno na cm nyngne

2.UBORA. Kampala international university ni chuo kikuu kama Havard university,lakn havna ubora sawa ingawa vyote ni vyuo vikuu,hvyo hvyo tecno na cm nyngne

3.JINA. Nyumba ya udondo iliyoezekwa nyasi ni nyumba,gorofa ni nyumba,zote ni nyumba kwa jina na kwa muonekano,hvyo hvyo tecno na cm nyngne.

Naweza mbali critically,nahofu unaweza usinielewe.
 
Techno wanasimu zisizo bora ila kwa phantom wameweza onesha ubora wa hali ya juu. Mimi naona phantom ndo bora zaidi au jaribu kugoogle kupata phone to phone comparison
 
Techno wanasimu zisizo bora ila kwa phantom wameweza onesha ubora wa hali ya juu. Mimi naona phantom ndo bora zaidi au jaribu kugoogle kupata phone to phone comparison

sawa wamejitahidi kwa phantom ila gharama wanayoziuza ni kubwa ukilinganisha na material waliyotumia.kwa hiyo nimegundua ni wezi wakubwa
 
Team_Tecno vs Anti_Tecno

Tuache kucompare simu. Mkuu Taylor Gang Jr sema unabei gani wadau wakushauri smartphone ya kununua.
 
Last edited by a moderator:
wewe ni mpuuzi sana hebu niambie nini uchofanya na sm yako ambocho kwenye techno nichaajabu yambafuuuu wewe


Nami nasisitiza kuwa Tecno siyo simu, kamwe mwenye ufahamu katika masuala ya IT au electronics huwezi kuifananisha Sumsang na Tecno, ila wale wenye ugonjwa wa kununua vitu bila ya kufanya tafiti ilimradi nae aonekane ana smartphone huwa wanajikuta wamenunua simu zenye mfano wa smartphone, ni bora ununue HUAWEI ya promotion kwa maana ya zile zinazotumia line special za kampuni fulani kuliko kujidanganya kununua Tecno.

Jamani inafikia kipindi yatupasa tupende kutafuta taarifa kwa umakini wa hali ya juu. Samsung walishapewa tunzo juu ya ubora wa smartphone zao, imefikia kipindi sasa apple inakosa usingizi kutokana na soko la simu za Samsung, unapozungumzia mobile phones for android manufacturers, basi tambueni Samsung ndio kinara wao
 
Nami nasisitiza kuwa Tecno siyo simu, kamwe mwenye ufahamu katika masuala ya IT au electronics huwezi kuifananisha Sumsang na Tecno, ila wale wenye ugonjwa wa kununua vitu bila ya kufanya tafiti ilimradi nae aonekane ana smartphone huwa wanajikuta wamenunua simu zenye mfano wa smartphone, ni bora ununue HUAWEI ya promotion kwa maana ya zile zinazotumia line special za kampuni fulani kuliko kujidanganya kununua Tecno.

Jamani inafikia kipindi yatupasa tupende kutafuta taarifa kwa umakini wa hali ya juu. Samsung walishapewa tunzo juu ya ubora wa smartphone zao, imefikia kipindi sasa apple inakosa usingizi kutokana na soko la simu za Samsung, unapozungumzia mobile phones for android manufacturers, basi tambueni Samsung ndio kinara wao

hivi tecno zina matatizo zenyewe au ulanguzi wa bei!!? maana nina miez 6 natumia tecno sijapata tatizo lolote lile na natumia kwa matumiz mengi tu ikiwemo downloading ya file kubwa tu!
 
Ingia GSMARENA.COM ;kuna ulinganifu wa simu mbalimbali. Pia simu utakayoikuta kati ya hizo mbili ndio simu ya kununua.

Mkuu, unategemea tecno uikute gsmarena!? Itakuwa maajabu, mwambie anunue galaxy s2 tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom