TECNO CAMON C9 yaingia sokoni kwa kishindo

TECNO CAMON C9 yaingia sokoni kwa kishindo

Naendelea kufuatilia dharau za baadhi ya watanzania wenzetu humu.
Hata mimi mkuu nawashangaa wanaodharau techno.wanasahau hata Samsung ilikua inadharaurika sana enzi zile wakati Nokia ilivyokua juu....Na Motorola....watu wanasahau kua kinachomata ni descent smartphone ya bei nafuu ambayo inauwezo waku process vitu kama email....Ku run Proffessional applications...kulingana Na taluuma ya MTU husika...

IPhone ni simu nzuri sana.mbona watu wengi hawazinunui......pamoja Na uzuri wake....ishu ni prices alafu sio user friendly.... Mwanzoni Samsung walikua walikua wanatengeneza simu za laini moja.sasa hivi baada yq kusoma soko.wanatengeneza simu ya laini mbili...Na hii ni baada ya tecno kuanza kutengeneza simu ya laini mbili... Binafsi nilianza Na motorolla..nikaja Nokia...nikaja Samsung.sasa hivi nipo tecno...why kwasababu ni user friendly Na INA laini mbili...Na uwezo wa kukaa Na chaji ukili ganisha Na Samsung.....
 
Wabongo bwana!!!...eti kwenye simu wanajifanya hawataki mchina(Tecno)halafu ukimchunguza vizuri utakuta vitu anavyotumia nyumbani kwake ni singsung,zec,sansan,starx...etc
 
Sifa ya kipekee ya simu hiyo ni kamera? Maana hazijaelezwa sifa zake zingine ili kunipa sababu ya kuinunua.
 
Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia Tecno ni simu ya kununua wakati wa mapito mfano kama simu yako imeibwa, imepotea au imeharibika wakati ambao hujajipanga vizuri kununua simu nyingine🙄
Ni kweli.
 
Ukifuatilia mijadala ya simu yaani unaweza ukaumiza kichwa, mie huwa naziona poa kulingana na matumizi ya kawaida but ukiitumia kama PC hapo unataka mengine na ndio maana huwa namshangaa mtu ananunua simu yenye specification nyinginyingi na kwa bei ya juu wakati matumizi yake ni whatsapp, facebook na kupiga selfie tu
Mkuu umenikumbusha mwaka juzi nilimtumia mama zawadi ya S4 ili irahisishe mawasiliano yangu nayeye hasa whatsapp calling au imo maana kupiga simu tz ilikuwa inani cost sana. Alichofanya ni kwamba aliichukua akampa dogo mmoja wa jirani aliyekuwa secondary akampa nokia ya tochi. Sababu eti inamsumbua maana haoni namba wala hawezi kusoma meseji.
 
Specification hiz hapa:
Model:C9
Operating System: HIOS V1.0: Based on Android 6.0
Network: GPRS/EDGE//WCDMA/LTE
Band: GPRS/EDGE: 900/1800
WCDMA: 900/2100
LTE: Band3/7/20
Dimension: 153*76.4*10.35mm
Display: 5.5" FHD IPS Touchscreen
Resolution: FHD(1920*1080)
Processor: Octa-core Processor
Camera: 13.0 MP AF Back Camera with Flashlight
13.0 MP Front Camera with Flashlight
Memory: 16 GB ROM + 2 GB RAM Expandable Micro SD, up to 128GB
Connectivity: GPS, Wi-Fi, BT
Battery Capacity: 3000mAh
Sensor: G-sensor, Light Sensor, Proximity Sensor
Hapo hamna kipya kilichoongezeka hapo ndio maana hyo Camera mnaitangaza sana
 
Mkuu umenikumbusha mwaka juzi nilimtumia mama zawadi ya S4 ili irahisishe mawasiliano yangu nayeye hasa whatsapp calling au imo maana kupiga simu tz ilikuwa inani cost sana. Alichofanya ni kwamba aliichukua akampa dogo mmoja wa jirani aliyekuwa secondary akampa nokia ya tochi. Sababu eti inamsumbua maana haoni namba wala hawezi kusoma meseji.
Sometimes tunatakiwa tuwe waumini wa falsafa ya "less more" kwenye situation kama hizi kwa kuangalia mtumiaji
 
Sifa ya kipekee ya simu hiyo ni kamera? Maana hazijaelezwa sifa zake zingine ili kunipa sababu ya kuinunua.
13mp front camera sio kitu cha kawaida kama ni mfuatiliaji wa cm utaligundua hili...

Kikubwa zaid kwenye C9

13mpixels front camera
6.0 Android mash.

Basi.
 
Mi ninayo, camera safii, charge inakaa siku nzima hata sitembei na charger, speed kama kawa LTE..nitake nini tena, sinunui simu kufuata majina, I tried LG onetime nikaijutia sana hela yangu. Go Tecno..
 
simu inaonekana nzuri tatizo ni jina limekaa Kichina china making some to shun away from the brand. Kila la kheri TECNOLOGY
 
TECNO Mobile , isije kuwa kama c8 maana najutia kwanini nilinunua.. all in all TECNO is the best.
Mkuu samahani, ni the best kwako pekee.Ungejua hiyo brand hata China wenyewe hawaipendi wanapenda iPhone, sasa we ubest wake ni kwenye ubora au bei mkuu?
 
Back
Top Bottom