Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Ina tofauti gani na Boom J8? Kwanini mmetoa C9 wakati J8 ingali bado mbichi sokoni tuwaeleweje? Haya ina tofauti gani kubwa kati ya J8 na C9 ? Naomba majibu plz TECNO Mobile
Baada ya mwezi inakujaNasubiri Techno C10
Bei gan mkuu?, kabla sijabofya namba?View attachment 364125
View attachment 364126
IPO Dukani kwa bei ndogo zaidi
Nauza kama pipi hawa jamaa ni nomaaaaaaaa
0653551607
Mwanza mnaposema Nyerere road round about mnamaanisha duka gani hapoAhsante sana Aika
Mmetaja tu sifa ya camera..
Bado sifa hiyo haiwezi kumvutia sana mteja!!
Weka full specification....
Ni pale unapokuta mtu kajipanga miezi 9 kununua sim anakuja kununua tecno!Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia Tecno ni simu ya kununua wakati wa mapito mfano kama simu yako imeibwa, imepotea au imeharibika wakati ambao hujajipanga vizuri kununua simu nyingine🙄
Ni pale unapokuta mtu kajipanga miezi 9 kununua sim anakuja kununua tecno!Kuna rafiki yangu aliwahi kuniambia Tecno ni simu ya kununua wakati wa mapito mfano kama simu yako imeibwa, imepotea au imeharibika wakati ambao hujajipanga vizuri kununua simu nyingine🙄
mkuu,hayo mambo ya specification,kitaani huku hatujuiMmetaja tu sifa ya camera..
Bado sifa hiyo haiwezi kumvutia sana mteja!!
Weka full specification....
tunachojua inaselfisha vizuri,then tunanunua!!!!!!

C8 ina nini? Mbona nzuri?TECNO Mobile , isije kuwa kama c8 maana najutia kwanini nilinunua.. all in all TECNO is the best.
Ukifuatilia mijadala ya simu yaani unaweza ukaumiza kichwa, mie huwa naziona poa kulingana na matumizi ya kawaida but ukiitumia kama PC hapo unataka mengine na ndio maana huwa namshangaa mtu ananunua simu yenye specification nyinginyingi na kwa bei ya juu wakati matumizi yake ni whatsapp, facebook na kupiga selfie tuC8 ina nini? Mbona nzuri?
Teh mie simu hata selfie situmii hata ukiuliza sijui megapixel ni ngapi sijui ilmradi napiga na kupokea baaasUkifuatilia mijadala ya simu yaani unaweza ukaumiza kichwa, mie huwa naziona poa kulingana na matumizi ya kawaida but ukiitumia kama PC hapo unataka mengine na ndio maana huwa namshangaa mtu ananunua simu yenye specification nyinginyingi na kwa bei ya juu wakati matumizi yake ni whatsapp, facebook na kupiga selfie tu
Mie ninaziona poa tu kwa kuwa vitu vya msingi navipata kama email notification, whatsapp na hata JF just in case nipo mbali na PC, mambo mengine ni matumizi maalumu kwa watu maalumuTeh mie simu hata selfie situmii hata ukiuliza sijui megapixel ni ngapi sijui ilmradi napiga na kupokea baaas
Hahaaaaa....mkuu,hayo mambo ya specification,kitaani huku hatujui![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
tunachojua inaselfisha vizuri,then tunanunua!!!!!!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kubwa lkn halina 4G LTEC8 ina nini? Mbona nzuri?