Tecno Camon 15 yazinduliwa rasmi

Tecno Camon 15 yazinduliwa rasmi

Bei elekezi ya camon15 katika maduka yetu ya tecno smarthub kwa Tsh 400,000/=
 
Umeongea nini sasa. Kwani ukienda Azam Tv ukakuta wanatazama TBC utashangaa?
Tofautisha shirika na huduma za kiserikali dhidi ya huduma private zenye ushindani. Huwezi enda ofisi ya Toyota Tanzania ukakuta boss amepaki Ford au Mitsubishi.
Hawezi kukuelewa huyo, Kampuni kina wanachofanya Top management kina impact kubwa sana ndio mana lazima waendane tu kampuni the rest wako spotted sana na inaweza punguza credibility ya product zao kama watu wakigundua hata yeye hatumii izo products, Hata Steve job alivyosema watoto wake hawatumii kabisa iPad iliharibu sana
 
Ila Tecno bora mkomae na platform nyingine sio JF ambapo theoretically kila mtu yupo juu hakuna mtu anatumia Tecno humu wote tuna Iphone x na S20 utra basi kutokujuana raha sana
 
Watu wanaponda sana.
Ila wengi wenu hapa mnatumia Tecno.
Kati ya comment zote 97 ninaamini comment 60 zimetumwa kwa simu ya Tecno na jamii zake kama Infinix au Itel.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom