dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,588
- 60,784
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mi nnayo techno INA laini mbili,ajabu laini moja inaebeep laini ingine na unakuta misscall
Sent using Jamii Forums mobile app
๐ ๐ ๐ ๐ ๐ ๐Mi nnayo techno INA laini mbili,ajabu laini moja inaebeep laini ingine na unakuta misscall
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani kamera zao ni nzuri au unadanganywa na wingi wa pixels??Sijawahi tumia Tecno..
Nilianza na Huawei Y 330 ...
Sony Xperia z4
Samsung G530
Iphone 6+ Yenye Gb 16 Room
Now Huawei mate 8 shida ya tekino mmebase kwenye camera Kama vile simu ni kamera Tuu anyway watumiaji wenu wengi ni Vilaza![]()
Hata kwa Oppo afatiTecno simu za wanyonge,itabaki kuwa ya wanyonge kutokana na teknolojia yake,huwezi linganisha na Apple au Samsung au Nokia.
Ila isingekuwa tecno wanyonge wangeishia kuona smartphone kwenye TV.
Sent using Jamii Forums mobile app