Tecno boom j7 vs nokia lumia

Tecno boom j7 vs nokia lumia

Msinunue simu za lumia zenye 512mb ram sababu simu mpya za microsoft zote zina 1gb ram hadi za bei rahisi. Hii inamaana future updates simu za 512mb ram zitaachwa.

Kama budget ni ndogo sana angalia lumia 430, 435, 532 ni za bei rahisi sana

Ina maana mkuu Chief Lumia yangu 630 nitakosa update kweli? Maana ina Ram 512mb.
 
Hata mm awali nilikuwa naangalia ukubwa pixel kwa simu ambazo sio tecno lkn nimekuja kugundua uzuri wa camera piga picha halafu uizoom ile picha utaona tofauti. Camera nyingi za tecno ukizoom picha picha inakuwa na mawingu.

Si tecno tu simu nyingi low end wanaeka camera mbaya hasa hizi zenye megapixel nyingi sababu sensor zao zinakuwa ndogo.

Ukiwa na sensor ndogo na pixel nyingi inamaana vipixel vyako vitakuwa vidogo na vimekosa mwanga
sensor.jpg


Ila sensor ikiwa kubwa pixel zitakaa kwa nafasi zitapata mwanga na quality itakuwa nzuri
 
Ina maana mkuu Chief Lumia yangu 630 nitakosa update kweli? Maana ina Ram 512mb.

Ya windows 10 haukosi kila mtu atapata hadi lumia za zamani. Ila nasema updates za baadae za 2016, 2017 na kuendelea simu za 512mb hazitapata. Wewe umeishaitumia simu yako hata mwakani usipopata updates huna neno sababu umepata za nyuma na sasa hv unapata

Yeye atakaenunua sasa hv simu ya zamani halafu mwaka kesho siwe iwe imesitishwa support itakuwa sio vizuri
 
Nimekupata mkuu ... Hata hvyo kuna haja ya kupata toleo jipya km ni hvyo. Na vp kuhusu lumia 640 XL
 
Nimekupata mkuu ... Hata hvyo kuna haja ya kupata toleo jipya km ni hvyo. Na vp kuhusu lumia 640 XL

Simu nzuri hio pro wengi wanairecomend kuinunua. Ila kama huna ulazima wa kununua mpya achana nayo subiria windows 10 uone simu yako itakuwaje kama utaona inaanza kuwa outdated utatafuta simu nyengine wakati huo. Windows 10 ikitoka kutatoka na simu mpya pia
 
Ok. Hapo nimekupata mkuu.. Ila sijui kwa nn simu nyingi km hyo lumia ina muonekano mzuri na mkubwa lkn uwezo wake ni GB 8 tu internal
 
Ok. Hapo nimekupata mkuu.. Ila sijui kwa nn simu nyingi km hyo lumia ina muonekano mzuri na mkubwa lkn uwezo wake ni GB 8 tu internal
Lumia 6xx ni budget phone bado sehemu kama usa/uk zinauzwa bei rahisi sana, wakati mwengine hadi $50 (100,000) Ukitaka storage kubwa inabidi uje kwenye 8xx series kama lumia 830. Sijui wanaziuzaje hizi 830 hapa tz ila amazon zimeshuka sana sasa hv zipo range ya dola 250 (500,000 hadi 600,000) ambayo ni kama hio xl Ila pia ukiwa na memory card nzuri kama class 10 lumia zinakubali kuhamisha vitu kwenye sd card
 
Duuh... Huku mbona wanatuuzia juu sn.... Nilienda pale mikocheni kucheki hyo 640XL nikakuta laki 5 na kitu..eeh ..nikaona isiwe taabu
 
Mmelipwa nini kutangaza biashara za cm?
 
Lakini pamoja na yote tecno wametutoa vumbi la macho maana ilikuwa ukizungumzia hzi android phones bei ilikuwa kigongo. Leo Samsung na lumia bei ilikuwa maumivu yasiyo kifani. Big up Chinese phones
 
Lakini pamoja na yote tecno wametutoa vumbi la macho maana ilikuwa ukizungumzia hzi android phones bei ilikuwa kigongo. Leo Samsung na lumia bei ilikuwa maumivu yasiyo kifani. Big up Chinese phones

Samsung hana low end nzuri ila same to tecno pia. Kwa android motorola ndio mkali wa simu za bei rahisi ila hapa kwetu hazipatikan kiurahisi

Wafanya biashara wa bongo anataka anunue kitu mtaa huu auze mtaa wa pili, hawajishughulishi kutafuta vitu best ndio maana inaskitisha simu kama moto e, asus zenfone na nyenginezo hazipatikan hapa tz.

Kuhusu lumia(sio android lakini) kwa tanzania ndio zinauzwa bei ghali na lawama zote zinawaangukia midcom. Kenya wenzetu pia wakala wao ni midcom ila still wanazipata kwa bei rahisi sometime diference hadi 70,000 hadi 150,000
 
Yaani chief haiingii akilini ..kwa cm km 640 XL wauze zaidi ya 500
 
Si kweli kwamba kila camera ya lumia ni nzuri kuliko ya tecno. Hao waliopiga picha wamepiga labda na T410 au T series.

Angalia hii picha ya Tecno L3 yenye cam ya 3.0 MP
6ca4bae68255052e1db35040de215fdb.jpg

Na hii
4f6bfd64a5606d61b77fed2d5f19276e.jpg



Hii hapa ya lumia 435 yenye cam 2.0MP.
f2938ac12a555846707416618619ddc6.jpg

Na hii
f1e51f6f7330001870070f8c6b17813b.jpg



Sasa je ukiona picha ya j7 au phantom hizo ndio za kulinganisha na lumia zenye kuanzia 5MP lakini sio hizi lumia za 2.0MP ambazo hazitumii sensor za maana

Chukua lumia and chukua tecno of the same megapixel,piga picha lete hapa,pili tambua tecno no updates ya software labda kama unataka simu ya muda mfupi
 
Back
Top Bottom