Sule the don
Member
- Jul 28, 2013
- 52
- 2
Wakuu kwa wenye uzoefu ipi nzuri kwa matumizi ya mwanafunzi na ya kawaida na bei zake vipi kwa mwanza
Wakuu kwa wenye uzoefu ipi nzuri kwa matumizi ya mwanafunzi na ya kawaida na bei zake vipi kwa mwanza
Hakuna tekno ya kuingia kwa lumia yoyote ukitazama charge,perfomance,camera,music,internet,updates yaan lumia kwa maisha but tecno ni kwa season ikija tu update ya android os jua itatoka mpya yenye os mpya,mfano lumia 520 imepokea window 8 na itapokea window ten
wakuu lumia 520 na lumia 630 zina bei gani kwa duka?msaada pleaz
ukisema hivyo unampotosha jamaa, hebu linganisha camera ya lumia 430 au 435 ni 2MP halafu j7 camera ya nyuma ni 8MP. Pia screen size na resolution.
kweli sina Bias ninatumia Lumia lakini kuna vi-Lumia ambavyo haviingii kwenye j7, Zmini,Z,R5,R7...
Naongea with experience,piga picha kwa lumia weka kwenye pc halafu piga kwa tecno weka kwenye pc utapata majibu,mimi mtu wa kilimo unakuta mtu anatatizo shamban anakutumia picha ya zao kapiga kwa tecno unaona mmea ila huelew sababu quality ya camera mbovu,ila piga na lumia zoom pic unaona features za picha yako
Boom J ndo mpango mzima, inauzwa 320,000 ukikomaa hadi 280000 wanakupa
wakuu lumia 520 na lumia 630 zina bei gani kwa duka?msaada pleaz
Boom kama inafika 300,000 si vyema kufanya comparison na 430 ambayo ni simu ya dola 70 tu. Huku kwetu ambapo midcom anazi overprice pia haijafika hata 200,000ukisema hivyo unampotosha jamaa, hebu linganisha camera ya lumia 430 au 435 ni 2MP halafu j7 camera ya nyuma ni 8MP. Pia screen size na resolution.
kweli sina Bias ninatumia Lumia lakini kuna vi-Lumia ambavyo haviingii kwenye j7, Zmini,Z,R5,R7...
Msinunue simu za lumia zenye 512mb ram sababu simu mpya za microsoft zote zina 1gb ram hadi za bei rahisi. Hii inamaana future updates simu za 512mb ram zitaachwa.
Kama budget ni ndogo sana angalia lumia 430, 435, 532 ni za bei rahisi sana
Ht Tecno H6 pia camera yake ipo vizuri. Camera ya nyuma ni 8mp
Uzuri wa camera si mp, megapixel ni ukubwa wa picha tu quality ya camera inatokana na vitu vyengine
Uzuri wa camera si mp, megapixel ni ukubwa wa picha tu quality ya camera inatokana na vitu vyengine
Km vitu gani mkuu ambavyo hufanya camera ionekane imetoa picha nzuri?
Kikubwa kabisa ni sensor jinsi sensor inavyokuwa kubwa basi ndivyo inavyokuwa na mapixel makubwa na kuruhusu mwanga mwingi.
Vitu vyengine ni kama lens, software ya simu, optical image stabilization, nk