social_science
JF-Expert Member
- Dec 19, 2015
- 1,105
- 1,262
Tanzania tukishikamana tunaweza kuzalisha malighafi toka ktk viwanda vyetu vilivyokufa
unauhakika na unacho kinena? Kwa umeme upi? Malighafi toka kwenye viwanda vilivyokufa? sasa kama vimekufa vitazalisha vipi? can dead thing produce anything? unamaanisha nini unaposema viwanda vyetu ( wewe na nani)?Tanzania tukishikamana tunaweza kuzalisha malighafi toka ktk viwanda vyetu vilivyokufa