King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,632
- 68,560
Wadau nijuzeni hii technique ya kwenda usa kwa kutumia student visa jinsi ya kufanya!
Thanks,
KK3
Thanks,
KK3
Wadau nijuzeni hii technique ya kwenda usa kwa kutumia student visa jinsi ya kufanya!
Thanks,
KK3
mnh huko sio tambarale kama unavyofikiri.....
wachache sana wamefanikiwa...
maboksi yanazeesha...
be warned usije ukasema hukuambiwa lol
Kama ni Usa ya Arumeru wee jitome tu. On a serious note, kama shida yako ni kusoma tu ni lazima uende huko? Na kama una malengo ya kazi muda huu haukufai maana tangu 2008 Europe na USA hakufai kabisa kwetu wamatumbi.
kama umeshindwa ku make hapa je states utaweza?usije kuishia pabayakwa kazi mie nipo fiti naweza kufanya kazi masaa 20 kwa siku so usijari lengo ni ku-make more dou',we niambie jinsi ya kufanya.
Kwa kazi mie nipo fiti naweza kufanya kazi masaa 20 kwa siku so usijari lengo ni ku-make more dou',we niambie jinsi ya kufanya.
Cheki muvi ya Kinajeria "American Dream" kuna kila kitu humo yakiwemo mafundisho
kama umeshindwa ku make hapa je states utaweza?usije kuishia pabaya
Wadau nijuzeni hii technique ya kwenda usa kwa kutumia student visa jinsi ya kufanya!
Thanks,
KK3
haya bwana kila la kheri,sijui marekani kukoje ila nchi za ulaya mwanafunzi haruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 20 kwa wiki,imagine masaa 20 kwa wiki ujilipie kodi ya pango la nyumba,chakula na kama huna sponsor ujilipie fees....!wengi wanadata,lol sijui marekani ikoje...nasubiri wanaoishi huko waje waseme....
Mzee naona nikuambie Dunia inavyoenda sasa ili usije kupotea. Mimi nipo hapa USA kwa miaka 14 sasa na ushauri wangu ni huu. Usije Kiwanja bila degree kwasababu huku degree inachukua muda sana. Kama huna degree hata moja nenda chuo cha bongo au India kwa miaka mitatu upate degree au Advance diploma kabla hujaja USA au Canada. Hi ni kwasababu zifuatazo (1) Makaratasi: vibali vya kazi vitakusumbua sana maana wanafunzi hawaruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 20 kwa wiki (2)Sheria: Siku hizi kufanya kazi bila kibali ni shida hivyo usitumie historia na ukathani maisha ndivyo yatakavyokuwa miaka ijayo ni lazima ufikirie kufuata sheria.(3) Shule za huku za degree ya kwanza ni ndefu sana unahitaji credit hrs zaidi ya 130 kupata degree ya kwanza na inaweza kukuchukua hadi miaka 6 kama unasoma kwa kusuasua!.
Kama una degree ningekushauri ufanye hivi (1) Nenda Canada na sio USA: Canada unaweza kwenda kama skilled worker unatakiwa uwe na (a) degree (b) uzoefu wa kazi ambao unaweza ukafanya ma mambozi kwenye CV na kampuni za washikaji (c) Wakati wakikuruhusu kuja unatakiwa uwe na canadian $ 10,000. unaweza ku kopa kwa washikaji. Hii process inschukua kama 6 month -1 year lakini ukienda Canada unaenda na haki zote maana wanakupa creen card ya Canada. Unaweza kutafuta short course ndogo kama za IT (SAP, DOT.NET,Oracle, Nurse etc) na kuanza kazi moja kwa moja bila kujali mambo ya shule. Hata kama ukisoma shule inakuwa rahisi kwa sababu una haki zote na unaanzia kazi za juu kidogo na sio hayo ma box unayosema.
Ukija marekani na degree vilevile unaweza kutafuta kazi ambazo zikakupatia HB1 ambayo ni Visa ya kazi na baada ya miaka mitatu unaweza kuomba creen card lakini inahitaji degree na mwajiri. Na njia hii itahitaji uje kama mwanafunzi!
Mimi kwa mawazo yangu Canada ni nzuri zaidi kwasababu ukiwa na gree card unaweza kuja USA bila shida na ukahamia kama unataka.
Sisi tunabahati tulikuja wadogo na kama wewe ni mtu mzima 30's na huna degree utapata shida sana USA. Usije huku bila degree au Advance diploma utapoteza muda na kujiingiza kwenye mambo ya kudanganya.
Kwa kazi mie nipo fiti naweza kufanya kazi masaa 20 kwa siku so usijari lengo ni ku-make more dou',we niambie jinsi ya kufanya.
Kama ni Usa ya Arumeru wee jitome tu. On a serious note, kama shida yako ni kusoma tu ni lazima uende huko? Na kama una malengo ya kazi muda huu haukufai maana tangu 2008 Europe na USA hakufai kabisa kwetu wamatumbi.
Mzee naona nikuambie Dunia inavyoenda sasa ili usije kupotea. Mimi nipo hapa USA kwa miaka 14 sasa na ushauri wangu ni huu. Usije Kiwanja bila degree kwasababu huku degree inachukua muda sana. Kama huna degree hata moja nenda chuo cha bongo au India kwa miaka mitatu upate degree au Advance diploma kabla hujaja USA au Canada. Hi ni kwasababu zifuatazo (1) Makaratasi: vibali vya kazi vitakusumbua sana maana wanafunzi hawaruhusiwi kufanya kazi zaidi ya masaa 20 kwa wiki (2)Sheria: Siku hizi kufanya kazi bila kibali ni shida hivyo usitumie historia na ukathani maisha ndivyo yatakavyokuwa miaka ijayo ni lazima ufikirie kufuata sheria.(3) Shule za huku za degree ya kwanza ni ndefu sana unahitaji credit hrs zaidi ya 130 kupata degree ya kwanza na inaweza kukuchukua hadi miaka 6 kama unasoma kwa kusuasua!.
Kama una degree ningekushauri ufanye hivi (1) Nenda Canada na sio USA: Canada unaweza kwenda kama skilled worker unatakiwa uwe na (a) degree (b) uzoefu wa kazi ambao unaweza ukafanya ma mambozi kwenye CV na kampuni za washikaji (c) Wakati wakikuruhusu kuja unatakiwa uwe na canadian $ 10,000. unaweza ku kopa kwa washikaji. Hii process inschukua kama 6 month -1 year lakini ukienda Canada unaenda na haki zote maana wanakupa creen card ya Canada. Unaweza kutafuta short course ndogo kama za IT (SAP, DOT.NET,Oracle, Nurse etc) na kuanza kazi moja kwa moja bila kujali mambo ya shule. Hata kama ukisoma shule inakuwa rahisi kwa sababu una haki zote na unaanzia kazi za juu kidogo na sio hayo ma box unayosema.
Ukija marekani na degree vilevile unaweza kutafuta kazi ambazo zikakupatia HB1 ambayo ni Visa ya kazi na baada ya miaka mitatu unaweza kuomba creen card lakini inahitaji degree na mwajiri. Na njia hii itahitaji uje kama mwanafunzi!
Mimi kwa mawazo yangu Canada ni nzuri zaidi kwasababu ukiwa na gree card unaweza kuja USA bila shida na ukahamia kama unataka.
Sisi tunabahati tulikuja wadogo na kama wewe ni mtu mzima 30's na huna degree utapata shida sana USA. Usije huku bila degree au Advance diploma utapoteza muda na kujiingiza kwenye mambo ya kudanganya.