deni
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 255
- 186
hello wana jf.
mimi nimemaliza form 4 mwaka jana.
matokeo yangu ni mazuri nna dvn 1.11 na AAA PCM.
nilichagua tech colleg(DIT) first choice.nadhani engineer aliyesoma diploma halafu BA ni safi zidi ya alietoka A-level halafu akachukua BA.tatizo watu wengi wananikatisha tamaa na kusema huko colleg si kwa watu wenye ufaulu kama wangu wanasema huko ni kwa waliofaulu kwa kiwango kidogo.....yaani wengi wananiona wa ajabu wanasema kupitia huko ni kujiharibia kwani ajira zinasumbua kwa waliopitia huko.
najisikia vibaya naona kama nibadilishe baada ya matokeo kutoka.sio kwamba siwezi A-level bali nahisi njia ya ttech colg kwa engineerig ni nzuri zidi.
kwa hiyo naomba anayefahamu zaigi anielezee hili swala la A level na tech colg.je mimi nipo sawa au wao wapo sawa
mimi nimemaliza form 4 mwaka jana.
matokeo yangu ni mazuri nna dvn 1.11 na AAA PCM.
nilichagua tech colleg(DIT) first choice.nadhani engineer aliyesoma diploma halafu BA ni safi zidi ya alietoka A-level halafu akachukua BA.tatizo watu wengi wananikatisha tamaa na kusema huko colleg si kwa watu wenye ufaulu kama wangu wanasema huko ni kwa waliofaulu kwa kiwango kidogo.....yaani wengi wananiona wa ajabu wanasema kupitia huko ni kujiharibia kwani ajira zinasumbua kwa waliopitia huko.
najisikia vibaya naona kama nibadilishe baada ya matokeo kutoka.sio kwamba siwezi A-level bali nahisi njia ya ttech colg kwa engineerig ni nzuri zidi.
kwa hiyo naomba anayefahamu zaigi anielezee hili swala la A level na tech colg.je mimi nipo sawa au wao wapo sawa