johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,703
- 143,133
Nimeanza kusikia Matamko ya Maaskofu wa Kanisa Katoliki wakiikana kauli ya Papa Francisco ya kubariki Ndoa za Jinsia Moja.
Alianza Askofu Ruwai' chi wa DSM na amefuatiwa na Askofu Kassala wa Geita.
Endapo Baraza zima la Maaskofu litatoa tamko la kumkana Papa Francisco tutaamini hata kwenye tamko lao la DP World walikuwa serious.
Merry Christmas!
Alianza Askofu Ruwai' chi wa DSM na amefuatiwa na Askofu Kassala wa Geita.
Endapo Baraza zima la Maaskofu litatoa tamko la kumkana Papa Francisco tutaamini hata kwenye tamko lao la DP World walikuwa serious.
Merry Christmas!