Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 28,749
- 91,814
Picha ndio kitu wanachotafuta, baada ya hapo Utaona Vijana wao walowasambaa MITANDAON wakizitumia picha hizo na maneno yao.
Hilo likishindikana TEC wawe tayari kujibu kupitia Vyombo vya habari pale ambapo Picha hizo zitatumiwa vibaya.
Ni haki ya Kiongozi wa Dini Kukataa kupiga Picha na Kiongozi wA Serikali , sio lazima.
Kama wanakuja kwaajili ya Mazungumzo, wazungumze, wakimaliza wasepe.
SIO LAZIMA KUFANYA MAZUNGUMZO KISHA PICHA, PIÇHA SIO LAZIMA KABISA
Hata hivo, picha ya Leo ya Mwigulu na TEC, yamesambaratisha wale Masheikh Ubwabwa,
OYA DEC 9 KUNA MAANDAMANO MAKUBWA UWIIII HAHAHAHA, KUNA MAANDAMANO MAKUBWAAAAAAAA YAAN MAKUBWAAAAAAA
Tarehe 9 Dec ni ama
-Muue watu muishie ICC.
-Tuwafurumushe alafu Tuwashughulikie Kwa Mujibu wa Sheria zetu
Hilo likishindikana TEC wawe tayari kujibu kupitia Vyombo vya habari pale ambapo Picha hizo zitatumiwa vibaya.
Ni haki ya Kiongozi wa Dini Kukataa kupiga Picha na Kiongozi wA Serikali , sio lazima.
Kama wanakuja kwaajili ya Mazungumzo, wazungumze, wakimaliza wasepe.
SIO LAZIMA KUFANYA MAZUNGUMZO KISHA PICHA, PIÇHA SIO LAZIMA KABISA
Hata hivo, picha ya Leo ya Mwigulu na TEC, yamesambaratisha wale Masheikh Ubwabwa,
OYA DEC 9 KUNA MAANDAMANO MAKUBWA UWIIII HAHAHAHA, KUNA MAANDAMANO MAKUBWAAAAAAAA YAAN MAKUBWAAAAAAA
Tarehe 9 Dec ni ama
-Muue watu muishie ICC.
-Tuwafurumushe alafu Tuwashughulikie Kwa Mujibu wa Sheria zetu