POTOSHI TEC hali tete kama kawaida yao wanataka pesa

POTOSHI TEC hali tete kama kawaida yao wanataka pesa

Uhalisia wa taarifa hii umepindishwa ili kupotosha
Source #1
View Source #1
Wanaukumbi.

Baraza la ma askofu TEC linaomba Msaada lisaidiwe na serikali.


Maombi yakikataliwa wananua.

Hali tete leo hii ndiyo wanamtambua Rais Samia wanaomba msaada, Rais Samia achana na hawa wamezoe kudekezwa waendelee kutoa matamko.

Wasubiri umalize muda wako pesa hamna zinapelekwa kwenye miradi ya taifa


1770975154915.png
 
Tunachokijua
Baraza la Maaskofu katoliki Tanzania (TEC) ni baraza la maaskofu wa katoliki nchini Tanzania abalo lilianzishwa rasmi mwaka 1956 na kutambuliwa na seikali mwaka 1957.

Madai

Mdau mmoja amechapisha video inayomuonesha Askofu wa Kanisa katoliki akitoa hotuba yake mbele ya Rais Samia Suluhu Hassa, na kueleeza kuwa ni ya mwaka 2026 ambapo baraza hilo linaomba msaada kwa Rais.

Uhalisia wa video hiyo

Ufuatiliaji uliofanywa na JamiiCheck umebaini kuwa video iliyotumka si ya mwaka 2026 kama inavyoelezwa bali imetumika kwa lengo la kupotosha.

Kwa kutumia nyenzo za kidigitali imebainika kuwa video hiyo imekuwepo mtandaoni kuanzia Juni 25, 2021 ambapo Tumaini TV ilichapisha video hiyo kupitia mtandao wao wa Youtube.

Na aliyekuwa akiongea kwa wakati huo alikuwa ni Rais wa TEC Mhashamu Gervas Nyaisonga ambapo alimueleza Rais mambo mbalimbali ikiwemo kuomba taasisi zao za elimu zirudishiewe hahi yake ya kudahili.

Kwa sasa Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania si Nyaisonga tena bali ni Mhashamu Askofu, Wolfgang Pisa ambaye hakuna kumbukumbu zozote zinazomuonesha kuwa alizungumza mbele ya Rais na kuomba pesa.
Wanaukumbi.

Baraza la ma askofu TEC linaomba Msaada lisaidiwe na serikali.


Maombi yakikataliwa wananua.

Hali tete leo hii ndiyo wanamtambua Rais Samia wanaomba msaada, Rais Samia achana na hawa wamezoe kudekezwa waendelee kutoa matamko.

Wasubiri umalize muda wako pesa hamna zinapelekwa kwenye miradi ya taifa
Kuna kokote TEC wamesema hawamtambui Rais ?
TEC wanataka HAKI, hayo mengine sio mambo yao 😀
 
Wanaukumbi.

Baraza la ma askofu TEC linaomba Msaada lisaidiwe na serikali.


Maombi yakikataliwa wananua.

Hali tete leo hii ndiyo wanamtambua Rais Samia wanaomba msaada, Rais Samia achana na hawa wamezoe kudekezwa waendelee kutoa matamko.

Wasubiri umalize muda wako pesa hamna zinapelekwa kwenye miradi ya Kanisa Moja Katoliki la Mitume
KANISA ALINA DHIKI KIASI CHA KUTEMBEZA BAKULI- NAJIVUNIA KUWA MKATOLIKI
 
Kanisa katoliki siku zote ni watu omba omba tuh na wenye njaa

Kama wanataka misaada waende kwa chadema washirika wao

Walishasema hawamtambui Rais sasa shobo za nini.
 
Video ya mwaka gani hiyo?
Naona gaidi mwenzio the big fool haraka kawahi ku like ushudu wako kisa tu habari ni negative dhidi ya TEC...mtaishi kwa kuumia sana TEC daima itabaki kuwa juu!!.
 
Kuna kokote TEC wamesema hawamtambui Rais ?
TEC wanataka HAKI, hayo mengine sio mambo yao 😀
Haki ipi?
Ya kupewa mabilioni kwa jina la upako !
Mmeiba toka nchi inapata uhuru lkn bado maskini. Wavaa kobazi wenye elimu ya darasa la saba wabafungua viwanda. TECH wanaongeza makanisa ya kuuza maji ya upako na michanga ya baraka.!
Hivi lini mtaonea huruma hata hao kondoo mnao watoza fungu la 10 kila weekend?

Faida pekee ya TECH ni kuwezesha kiwanda cha dodoma wine kuwepo manake bila wine hakuna ibada zile za weekend. Manake huko ndio wanatengeneza damu ya bwana.
Taja faida ingine kwa taifa letu.

Safari hii WiZI tumewachoka
Mkiendelea na hizi kelele mtachezea bakora very soon.
 
Wewe mleta mada ni jitu kubwa lenye akili za kitoto
mimi sio mkristo wala muislam ila bandiko lako ni la propaganda za kitoto sana pimbi wee!
 
Hiyo video yako ya wakati wa Covid 19 mwaka 2021 kurudi 2020.
Usijitoe ufahamu mzee.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom