TEC haijatoa WARAKA wa Pasaka 2025

TEC haijatoa WARAKA wa Pasaka 2025

Siwezi kwenda kinyume na viongozi wangu wa kiroho, SITASHIRIKI UCHAGUZI bila Reforms. Kama Mkatoliki kamwe siwezi kwenda kinyume na Askofu wangu, NEVER.
 
To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.
Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake. INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.
Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU! Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk. Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Mbona mnaweweseka
Nani anaharibu AMANI, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani MFUMO wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC
Haya jibuni hizo hoja za Askofu
 
Siwezi kwenda kinyume na viongozi wangu wa kiroho, SITASHIRIKI UCHAGUZI bila Reforms. Kama Mkatoliki kamwe siwezi kwenda kinyume na Askofu wangu, NEVER.
Umelewa dini. :Religion is the opium of the people" by Carl Marx
Siwezi kwenda kinyume na viongozi wangu wa kiroho, SITASHIRIKI UCHAGUZI bila Reforms. Kama Mkatoliki kamwe siwezi kwenda kinyume na Askofu wangu, NEVER.
 
Mbona mnaweweseka
Nani anaharibu AMANI, anayetumia nguvu uchaguzi uende anavyotaka yeye au anayesema turudi mezani MFUMO wa sasa hautupi viongozi wanaopatikana kwa HAKI na KWELI?..Waliokamatwa kwa kudai HAKI wakiwepo viongozi wa vyama vya siasa waachiwe haraka bila Masharti” Askofu Pisa, Rais TEC
Haya jibuni hizo hoja za Askofu
Ni wapi nguvu zinatumika? Plz evidence!
 
Kama taifa tuna tatizo kubwa ...tatizo la kuwa na watu kama wewe ...
 
To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.
Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake. INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.
Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU! Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk. Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Sasa kama hayo ni maoni tu ya Askofu na mnaweweseka hivyo, je TEC ikitoa Waraka rasmi mtafanyaje?
 
Kama taifa tuna tatizo kubwa ...tatizo la kuwa na watu kama wewe ...
Baadhi ya watanzania WANAABUDU masaskofu/wachungaji wao. Nenda kasome kitabu hiki, "The Role of the Catholic Church of Rwanda in the commission of Genocide Crimes in Rwanda." Hapo utajua upuuzi wa hao viongozi wenu wa dini. Rubbish!
 
Umelewa dini. :Religion is the opium of the people" by Carl Marx
Kulewa dini maana yake nini? Tunatumia common sense. Biblia imeandika

Mathayo 16:19
Nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni. "

Roma Lacuta Causa Finita.
 
Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Wapi huko bothiiii ambako watu hapendi makanisani? Jiseme mwenyewe siyo kujeneroraizi!
 
hii fimbo ya TEC ya mwaka huu imewaingia mbogamboga
 
Kulewa dini maana yake nini? Tunatumia common sense. Biblia imeandika

Mathayo 16:19
Nitakupa funguo za ufalme wa mbinguni, na lolote utakalolifunga duniani litakuwa limefungwa Mbinguni, nalo lolote utakalofungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni. "

Roma Lacuta Causa Finita.
My friend msemo huo ni wa zamani sana, nyakati za middle Ages. Haupo tena. Umebaki kwako tu.
 
To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.
Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake. INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.
Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU! Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk. Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Wakitokea Tundu Lissu kumi (10), watawalq watajisikiaje?
 
My friend msemo huo ni wa zamani sana, nyakati za middle Ages. Haupo tena. Umebaki kwako tu.
Umebaki kwangu na wenzangu bilioni 1.4, Neno la askofu wangu ni neno la Roho Mtakatifu! Akifunga amefunga akifungua amefungua. Ndivyo wakatoliki tunavyoamini
 
Demon-cracy has replaced democracy in Tanzania. To achieve this, capable and intelligent candidates are being silenced by disqualifying them and sending them to prisons so that incompetent candidates/leaders won't be challenged.

..Mama anamuogopa Tundu Lissu.

..she can not match his eloquence and intellect.

..sasa kamfunga Lissu, kaibuka John Heche.

..and Heche is getting better every time he is out in the public.

..muda sio mrefu Heche atakuwa mwiba sawa na alivyo Tundu Lissu.

..Mama ana mapesa mengi, lakini hana kipaji na ushawishi wa hoja.
 
To be honest, mwaka huu TEC haijatoa waraka wa Pasaka 2025. Na siyo lazima TEC itoe waraka. Tamko la askofu wa jimbo la Lindi ni tamko/maoni yake binafsi, SIYO waraka wa TEC. Kila askofu alichokisema kwenye salaam za pasaka au mahubiri ya pasaka ya mwaka huu ni mafundisho yake binafsi.

Vyombo vya habari vimekuwa vikichanganya habari ya TEC na mahubiri binafsi ya askofu husika kwa waumini wake. INGAWAJE askofu wa Lindi mwanzoni mwa mahubiri yake ALIDANGANYA waumini wake aliposema anasema kama Raisi wa TEC. No! NO! NO! ni MWONGO. Katika hili alidanganya! Wanaomkosoa wamkosoe yeye kama askofu wa Lindi, SIYO TEC.

Note well: Maaskofu/mapdre wanatakiwa wawe na mipaka katika kutoa matamko yao. Ya kaizari wamuachie kaizari. Wao wajikite na ya Mungu, TOSHA. Kwasababu Askofu/padre/mchungaji HANA TAARIFA sahihi na zakutosha juu ya SERIKALI. ATADANGANYA TU!

Pia maaskofu/wachungaji hawana moral authority ya kuikosoa serikali wakati wao wenyewe wanafanya mambo ya HOVYO mengi, kama kukwepa kodi,wiza,uwongo,utapeli,udikteta uchwara,dhuruma kwa watoto kingono,utelekezaji wa watoto wao,ubakaji,ushoga,uporaji wa maeneo ya wananchi,ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu nk.

Wajisafishe kwanza wao wenyewe. Otherwise, they should stop that nonsense! Watu siku hizi wanajua kuhoji vitu(critical thinking), ndo maana watu wengi siku hizi hawaendi makanisani.
Kwa hiyo Askofu WA Lindi sio Raisi WA TEC , Kwa sasa hivi, hivyo hawezi kuongelea TEC. Pili Kwa kuwa ni mwongo, asisikilizwe ,apuuzwe , tatu sirikali ndio wakweli wasikilizwe., na Kwa kuwa ya kaazari tumwachie kaizari, basi tuiachie sirikali ifanye itakavyo maana yenyewe ndio kaisari hivyo mambo yake yawe yake Sisi ni kushangilia tu
 
Cleric mmoja alikuwa anaelezea.
Yule Askofu wa Lindi hakuzunguzumgumza kwa niaba ya TEC, notwithstanding kwamba alisema," kwa niaba ya TEC nasema Tundu Lissu aachiwe huru sasa hivi bila masharti.".
Akasema,Ushahidi kwamba hakutunwa na TEC,akatoa mfano tazama huyu Askofu( wa wapi sijui) amezungumza tofauti.
( Katika cases kama hizi ni bora " kumsahau" aliyesema maneno ya kupinga ama sivyo unaweza kuitwa ' mbeya'.)
 
Katika historia yote ya wokovu, mamlaka ya kiroho haijawahi kuwa suala la mazungumzo ya kiholela, bali ni mwendelezo wa mpango wa Mungu uliojidhihirisha kwa njia ya agano, unabii, na hatimaye kwa Kristo mwenyewe aliye Mchungaji mkuu wa roho zetu. Katika mwanga huu, ni lazima tukiri pasipo kuficha,

kauli ya mkuu wa taasisi ya kiroho ni kauli ya taasisi yenyewe si kwa hiari, bali kwa asili ya mamlaka aliyopewa.

Huwezi kumtenganisha kiongozi na taasisi anayoiongoza, kwa maana mamlaka yake imetiwa muhuri si kwa kura za watu, bali kwa neema ya juu, iliyowekwa kwa utaratibu wa Kimungu, Uongozi wa kiroho si wadhifa wa kijamii, ni sakramenti ya wajibu, ni agano la mamlaka ya kuifunga na kuifungua dunia na mbingu.

Yesu Kristo mwenyewe alisema,;

“Amin, nawaambia: Lolote mtakalolifunga duniani litakuwa limefungwa mbinguni, na lolote mtakalolifungua duniani litakuwa limefunguliwa mbinguni.”
— Mathayo 18:18


Na tena:

“Yeyote awasikiaye ninyi, ananisikia mimi; na yeyote awakataaye ninyi, ananikataa mimi; naye anikatae mimi, amemkataa yeye aliyenituma.”
— Luka 10:16


Kwa hivyo, kupinga kauli ya mkuu wa taasisi ya kiroho ni kupinga taasisi yenyewe; na kupinga taasisi, ni kuasi utaratibu wa Mungu aliouweka kwa watu wake. Huu si mjadala wa mitazamo; huu ni mguso wa kiini cha imani yetu.
 
Ni wapi nguvu zinatumika? Plz evidence!
Tume inabadilishwa jina inaongozwa na wateule wale wale unashupaza shingo kuita tume huru watu wakisema sio huru basi mnatumia dola kuwashughulikia
 
Back
Top Bottom