Favoured one
Senior Member
- Jun 16, 2017
- 142
- 78
Hii picha ipo mdabulo,wilayani mafinga,mkoani Iringa,boss nimepatia ?
Mdabulo,barabara ya kwenda parishPicha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Hii picha ipo mdabulo,wilayani mafinga,mkoani Iringa,boss nimepatia ?
Mdabulo,barabara ya kwenda parishPicha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Naisubiri hiyo sms takatifu mkuu,
Mbona haiingii tu😋
Nije nilete ushahidi hapa.
Kweli boss,
Kigoma hapo..ila pesa yako siitaki maana isijekuwa msiojulikana nyie.Picha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Picha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Mufindi.... Iringa Tanzania....Picha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
somewhere between arusha na kilimanjaroPicha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Duuuuu kumbe ndio kwetuPANAITWA MDABULO
IPO MUFINDI UNAINGILIA NJIA PANDA YA MGOLOLO
TUMA IYO PESA HUMU 0755293337
a kunywa na kujitahido kote??? Aise!!!Mdabulo,barabara ya kwenda parish
Ndugu zangu wa JF naleta mrejesho kama ifuatavyo
nimetumiwa 10,000 kutoka kwa
6HH22NHCDI2 Imethibitishwa mnamo 17/8/19, 11:16 AM Toa Tsh10,000.00 kwa GRACE CLOUDY SHIRIMA Salio lako ni Tsh10,846.00. Lipia bidhaa mitandaoni kwa M-PESA MASTERCARD.
Ahsante mkuu N'yadikwa kwa uaminifu wako
hii elfu 10 inanitoa porini
Nashukuru sana
PoaJamaa kakuwahi ☻
Duuuh!Ndugu zangu wa JF naleta mrejesho kama ifuatavyo
nimetumiwa 10,000 kutoka kwa
6HH22NHCDI2 Imethibitishwa mnamo 17/8/19, 11:16 AM Toa Tsh10,000.00 kwa GRACE CLOUDY SHIRIMA Salio lako ni Tsh10,846.00. Lipia bidhaa mitandaoni kwa M-PESA MASTERCARD.
Ahsante mkuu N'yadikwa kwa uaminifu wako
hii elfu 10 inanitoa porini
Nashukuru sana
Hongera kwa kuwa muaminifuKiongozi nakutumia pesa yako sio muda naomba urudi kuweka ushahidi kwamba nimelipa. Hongera kwa kupatia....HAPO NI BARABARA INAYOELEKEA MDABULO MISSION UKITOKEA MAFINGA
Hamna wilaya inaitwa Mafinga hapa TanzaniaHii picha ipo mdabulo,wilayani mafinga,mkoani Iringa,boss nimepatia ?
Hapa ni Mafinga..Picha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288
Buregaki
kigoma
IRINGA hio, haya tuma hela yangu chap kwa ukali🤣🤣🤣Picha ni hii taja eneo hili pichani ni wapi hapa Tanzania View attachment 1183288