Team ya wapiga deki mpooo!

Team ya wapiga deki mpooo!

Mngechubua papuchi angalau muiongezee urembo ningewaona wajanja!!

Hahahaaaa! Miss you morg!

Come back soon, teamkibamia is here!
 
:brushteeth::doh😀ah Kabla yakusomakwa ndani niliogopa hadi basi..:A S wink:Kupiga deki niliwaza mbali nikajua unakuja na uzi wa wapiga deki nikafikiri kuna Team ya wapiga deki!Nikataka niwajue! Dinazarde
 
Last edited by a moderator:
:brushteeth::doh😀ah Kabla yakusomakwa ndani niliogopa hadi basi..:A S wink:Kupiga deki niliwaza mbali nikajua unakuja na uzi wa wapiga deki nikafikiri kuna Team ya wapiga deki!Nikataka niwajue! Dinazarde

Tunawaitaga hivyoo wanaojichubuaaa
 
Last edited by a moderator:
Mngechubua papuchi angalau muiongezee urembo ningewaona wajanja!!

Hahahaaaa! Miss you morg!

Come back soon, teamkibamia is here!

Huko ndio wanapasahau kabisaaaa akikufunulia huko unaweza dhania kuna gizaaa
 
Hii thread nimechangia sana lakini sitachoka. Angalieni hapa:

However, there are other skin lightening creams containing equally toxic chemicals. In 2003, Dr S. Allen Counter of Harvard Medical School reported that the high levels of mercury found in people, but particularly women, from Mexico, Saudi Arabia, Senegal, West Africa, and in Tanzania in East Africa related to the use of skin lightening creams.
 
Kama unajichubua shoga achaaa yaan utakua ukipigwa busu hata husisimki maana ngoz inakomaa utaachwa na babu Asprin

hivi kweli ee? sikuwahi kufikiria katika daimenshen hii. Niliwahi kuona mama aliyejichubua amevua dera lake saluni akabaki na chupi tu ili ajipime sidiria aliyonunua pale saluni (Ujasiri wa kusaula mbele ya wateja sijui aliupata wapi.) Aisee nilichokiona kilinifanya nisimke simke kwa woga na mshangao. Kwanza mwili, pili ngozi. Kulikuwa na machirizi makubwa kama makovu ya kukatwa na panga kwenye mikono, mapaja na tumbo. Niliwaza mengi sana. Sasa sijui huo mkorogo anapaka mwili mzimaaa! Kwa mfano akiwa na baba kwenye yale mambo yao huwa wanafanya kingunguo au? maana yale makovu aisee ningekuwa mwanaume nahisi kingerudi ndani!
 
wamejichubua sura zimenyonyoka kama paka mweusi aliyemwagiwa maziwa.....

hayo maandishi niliyohailait ni mojawapo ya kauli zinazotufanya watu weusi tujishtukie rangi zetu na kuamua kuzikimbia. Ingawa ni mweusi na sijajichubua lakini lakini jamii yangu inaona rangi nyeusi ni nuksi. Sasa hapo rangi ya paka na manyoya kunyonyoka na kumwagiwa maziwa vinahusiana vipi? Mtu akikuta paka mweusi barazani kwake anaweza kuamini ni mchawi katumwa. Akikuta mweupe au wa cream anaweza hata kumpa maziwa inagwa hamjui. Hata huyo Bi Chau si ajabu jina lake halisi ni Chausiku. Nakumbuka utotoni nilipata shida sana ya kutaniwa majina ya ajabu ajabu kisa mweusi. kama si kutiwa moyo na walezi si ajabu na mimi leo ningekuwa mmoja wapo wa wanaopigwa mawe humu. Tuwazodoe kina bi chau lakini tusisahau kuwasifia watoto na wadogo zetu juu ya ngozi zao na maumbile yao.
 
hayo maandishi niliyohailait ni mojawapo ya kauli zinazotufanya watu weusi tujishtukie rangi zetu na kuamua kuzikimbia. Ingawa ni mweusi na sijajichubua lakini lakini jamii yangu inaona rangi nyeusi ni nuksi. Sasa hapo rangi ya paka na manyoya kunyonyoka na kumwagiwa maziwa vinahusiana vipi? Mtu akikuta paka mweusi barazani kwake anaweza kuamini ni mchawi katumwa. Akikuta mweupe au wa cream anaweza hata kumpa maziwa inagwa hamjui. Hata huyo Bi Chau si ajabu jina lake halisi ni Chausiku. Nakumbuka utotoni nilipata shida sana ya kutaniwa majina ya ajabu ajabu kisa mweusi. kama si kutiwa moyo na walezi si ajabu na mimi leo ningekuwa mmoja wapo wa wanaopigwa mawe humu. Tuwazodoe kina bi chau lakini tusisahau kuwasifia watoto na wadogo zetu juu ya ngozi zao na maumbile yao.

Kula malaiki ya kutosha.....btw mkuu wewe ni mchaga? Maana kule watu weusi ni wachache. Najiuliza ulikulia kwenye mazingira gani ambayo weusi ni kitu cha ajabu hadi kupewa majina...
 
Kula malaiki ya kutosha.....btw mkuu wewe ni mchaga? Maana kule watu weusi ni wachache. Najiuliza ulikulia kwenye mazingira gani ambayo weusi ni kitu cha ajabu hadi kupewa majina...

ee, mimi ni mchaga
 
hayo maandishi niliyohailait ni mojawapo ya kauli zinazotufanya watu weusi tujishtukie rangi zetu na kuamua kuzikimbia. Ingawa ni mweusi na sijajichubua lakini lakini jamii yangu inaona rangi nyeusi ni nuksi. Sasa hapo rangi ya paka na manyoya kunyonyoka na kumwagiwa maziwa vinahusiana vipi? Mtu akikuta paka mweusi barazani kwake anaweza kuamini ni mchawi katumwa. Akikuta mweupe au wa cream anaweza hata kumpa maziwa inagwa hamjui. Hata huyo Bi Chau si ajabu jina lake halisi ni Chausiku. Nakumbuka utotoni nilipata shida sana ya kutaniwa majina ya ajabu ajabu kisa mweusi. kama si kutiwa moyo na walezi si ajabu na mimi leo ningekuwa mmoja wapo wa wanaopigwa mawe humu. Tuwazodoe kina bi chau lakini tusisahau kuwasifia watoto na wadogo zetu juu ya ngozi zao na maumbile yao.
ha ha ha ha ha usihofu hayo maneno .pole kama yamekuumiza
usihofu kabisa meku kwa jamii yetu furahia rangi yako black color safi sana
 
Back
Top Bottom