Team ya wapiga deki mpooo!

Team ya wapiga deki mpooo!

nipo Dinazarde...tuko pamoja
Yaan mwenye uzi mmeniacha mi nilidhan nikilala nanyi mnalalaa kumbe mnaendeleaaaa khaaa noumaaa,haya nimerud mwenye jipya anipe halaf sijawaona Evelyn Salt na lara 1 mbona siwaon mmejikoboaaa niniii kama mpo weusi kama Lupita jipendenii kama mwapenda kujaajaa ili kuepuka vipaja kama sigara kuleni mjae mjae halaf mkate hayo matumboo
Naona mambo yako poaa aman kwa kwenda mbele nipo najilia ugali na maziwa nikachunge ng'ombe miee wale mjini full Ac mi naungua na jua huku lakin ngoz natural kama tofali lililochomwaa likaivaaaaa nawakajee kama kwenye mataa, Honey Faith sijakuonaa njoo cc mwallu upoooooo! !halaf tabia ya kusingizia wasukuma wanasababisha watu wajichubue mkome wasukuma wanapenda weupe aliozaliwa nao mtu sio wa kwenda kununuaaaaa banaa au sio wasukuma wenzangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom