Ndugu yenu kiba hana uwezo ila kwakuwa hamkuwa na kazi ya kufanya kupanga matokeo tofauti na yanavyotakiwa kupangwa Ipo siku uwezo wa mond utaonekana wazi tu mana watz walio wengi hawapend maendeleo ya MTU haswa mtu anayefanya jitihada zake mwenyewe..............
Hao wanajijua msanii huyo K hana la kuonyeshea, kwa hiyo wanatumia timu K kufunika wivu wao juu ya msanii Diamond ambaye anazidi kupanda hivyo wanataka ashuke
Wanatia aibu TZ kwa wivu wao wa roho za korosho. Hata Vanessa wanamuonea wivu bali hawasemi
Kura tunapiga na wao wampigie wanayemtaka hakuna wa kuwazuia ila wanajua ndani ya nafsi zao kuwa Diamond yuko juu ndo mana kawa-nominee kimataifa hata kama hajashinda ila kuwa nominis tayari yeye yupo juu kwa hapa TZ
Ndugu yenu kiba hana uwezo ila kwakuwa hamkuwa na kazi ya kufanya kupanga matokeo tofauti na yanavyotakiwa kupangwa Ipo siku uwezo wa mond utaonekana wazi tu mana watz walio wengi hawapend maendeleo ya MTU haswa mtu anayefanya jitihada zake mwenyewe..............