Team Lowassa wazidi kupigwa chini ubunge CCM

Team Lowassa wazidi kupigwa chini ubunge CCM

​Huyo Diana Chilolooo Bungeni alikuwa kama kaenda kwenye mipasho full vigeregere
 
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.
Mkuu hawa wote kweli ni timu Lowasa lakini pindi chana hapana yupo na siasa za NAM.
 
Kwa Pindi Chana hata mimi naunga mkono, kuna mwingine mwarabu koko wa Kishapu sijui anaitwa nani ni bogus sana huwa hana point zaidi ya kujiita mbunge shapu, hana tofauti na wabunge wa viti maalumu.

Yule mwenye mabasi na malori nini?
 
wabunge wanastahili kukosa kabisa nafasi ni pamoja na Wasira, Asunta mshana (mbunge waNkenge) , kandege(Kalambo), Arfi( mpanda mjini) Simbachawene na wote wa viti maalum wakiongozwa na Leticia Nyerere!!

Samahani sana ni asumpa mshama sio Mshana
 
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.

Yan kama hata hawa walikua Team Lowassa awaache huko huko CCM kama atajiunga na CDM, Hawa hawana maana kabisaa watatuletea ujinga wa kutetea hoja za hovyooo tu kama walivyofanya wakiwa CCM. Sasa angalia zawadi ya kuwa mtu hovyooo
 
Back
Top Bottom