Kwa Pindi Chana hata mimi naunga mkono, kuna mwingine mwarabu koko wa Kishapu sijui anaitwa nani ni bogus sana huwa hana point zaidi ya kujiita mbunge shapu, hana tofauti na wabunge wa viti maalumu.
Ummy amepita kwa kishindo kura za maoni.
Nimefurahi sana anguko la Pindi Chana...alichangia sana kuharibu mchakato wa katiba mpya...
Nitafurahi sana na wafuatao wakikatwa:
1: Amsumpta Mshama
2: Nchambi
3: Lusinde Kibajaji
4: Nkamia
5: Chenge
6: Wasira
7: Tibaijuka
8: Sita
9: Kawambwa
10:Magembe
Tafakari...
Mbona umemsahau Nape & MwiguluNimefurahi sana anguko la Pindi Chana...alichangia sana kuharibu mchakato wa katiba mpya...
Nitafurahi sana na wafuatao wakikatwa:
1: Amsumpta Mshama
2: Nchambi
3: Lusinde Kibajaji
4: Nkamia
5: Chenge
6: Wasira
7: Tibaijuka
8: Sita
9: Kawambwa
10:Magembe
Tafakari...
Mbona umemsahau Nape & Mwigulu
Kuna kuherehere Saidi Mkumba wa sikonge, huyu hatakiwi kabisaaaaaaaaaa, jamaa hafai kabisa.
Nimefurahi sana anguko la Pindi Chana...alichangia sana kuharibu mchakato wa katiba mpya...
Nitafurahi sana na wafuatao wakikatwa:
1: Amsumpta Mshama
2: Nchambi
3: Lusinde Kibajaji
4: Nkamia
5: Chenge
6: Wasira
7: Tibaijuka
8: Sita
9: Kawambwa
10:Magembe
Tafakari...
Kuna kuherehere Saidi Mkumba wa sikonge, huyu hatakiwi kabisaaaaaaaaaa, jamaa hafai kabisa.
Kibajaji lusinde namfurahia sana jamaa anaongea pumba hata kama umekasirika utacheka tu
Hadi sasa Pindi Chana, Diana Chilolo, Shamsa Mwangunga na Lediana Mng'ong'o wameshindwa katika kura za maoni viti maalum. Unaweza kuwaongeza pia Nchimbi, Ole Medeye etc etc.
Ongeza na mwigulu kwenye list mafia huyu muaji na gaidi
Vipi kuhusu Henry Daffa Shekifu,Aden Rage na Adam Malima Mzee wa mipasho halizao zikoje majimboni kisiasa?.
Lakini pindi chana anajenga hoja sana arudi tu bungeni