Team Lowassa wapata aibu hospitali ya Mt. Meru, Arusha

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Hili limetokea jana tarehe 25/4/2015 mkoani Arusha.

Vijana kadhaa waliovalia tshirt zenye maandishi ya TEAM LOWASSA walivamia hospitali ya mkoa ya MT MERU wakajidai wamekuja kufanya usafi na kujitolea damu huku wakiwa wamealika waandishi wa habari.

Kwa bahati nzuri uongozi wa hospitali hiyo ya mkoa ulikuwa umegundua janja yao ya kupiga siasa kwenye huduma za kijamii na hivyo wakakataliwa kwa kuwa hawakufuata taratibu.

Baada ya kufedheheshwa waliamia kwenye kituo cha afya cha Levolosi bila taarifa na kutumia mwanya wa kutokuwepo uongozi katika kituo hiko kwa muda huo wa weekend wakajidai kufanya usafi na kurekodiwa na kituo cha channel ten.

Eti wakajidai walitaka kujitolea damu mt meru wakanyimwa!hawajui kuwa utaratibu wa kutoa damu unafanywa na Kituo cha damu salama kanda na wala sio hospitali.

Kikundi hiki kilichovalia tshirt za kuhongwa za TEAM LOWASSA kilikuwa kinaongozwa na darasa la saba mmoja anayeenda kwa jina la EZEKIELI kutoka Ngaramtoni.


Wataalamu wa afya wanajiuliza kama kweli hii team lowassa ilitaka kujitolea damu kwa nini wasiende hospitali ya selian(Ngaramtoni) au OLTUMETI(NGARAMTONI)?

WATAALAMU WA AFYA WAMESIKITISHWA NA UPUUZI WA KISIASA UNAOLETWA KWENYE TAASISI ZA AFYA KISA MTU FLANI ANATAKA URAIS.

AIBU KWA VYOMBO VYA HABARI kwa kutumiwa na wajinga wajinga wa darasa la saba.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Achani unafiki na siasa za chuki kwani wao kujitolea kuna tatizo au ulitaka kuwaona vijana wenu ndo wanaenda kutoa huduma ndo mngefurahi,,,pia suala la elimu halimati katika kuaongoza watu coz wengi wenye elimu ndo wanafanya madudu na siasa za uongo badala ya kuwasaidia wananchi.chuki binafsi za nini?
 
Waziri wa afya piga marufuku shughuli za kisiasa kwenye taasisi za afya!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Achani unafiki na siasa za chuki kwani wao kujitolea kuna tatizo au ulitaka kuwaona vijana wenu ndo wanaenda kutoa huduma ndo mngefurahi,,,pia suala la elimu halimati katika kuaongoza watu coz wengi wenye elimu ndo wanafanya madudu na siasa za uongo badala ya kuwasaidia wananchi.chuki binafsi za nini?

Acha unafiki mkuu!unajitolea wakati wa uchaguzi?mnafiki mkubwa we!


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Wewe ulitaka watoe kipindi gani?na kwanini ww usioneshe mfano hicho kipindi kilichopita?siasa sio jukwaani tu.
 
Wewe ndo mnafiki mkubwa coz hujawahi toa mchango hata siku za kawaida
Mimi sio mnafiki kwa kuwa sina tabia ya kutoa mchango kabisa.unatoa mchango ili upate kitu?


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Wewe ulitaka watoe kipindi gani?na kwanini ww usioneshe mfano hicho kipindi kilichopita?siasa sio jukwaani tu.
Kuna siku ya kujitolea damu hawa mburula walikuwa wapi?

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Hili limetokea jana tarehe 25/4/2015 mkoani Arusha.

Vijana kadhaa waliovalia tshirt zenye maandishi ya TEAM LOWASSA walivamia hospitali ya mkoa ya MT MERU wakajidai wamekuja kufanya usafi na kujitolea damu huku wakiwa wamealika waandishi wa habari.

Kwa bahati nzuri uongozi wa hospitali hiyo ya mkoa ulikuwa umegundua janja yao ya kupiga siasa kwenye huduma za kijamii na hivyo wakakataliwa kwa kuwa hawakufuata taratibu.

baada ya kufedheheshwa waliamia kwenye kituo cha afya cha levolosi bila taarifa na kutumia mwanya wa kutokuwepo uongozi katika kituo hiko kwa muda huo wa weekend wakajidai kufanya usafi na kurekodiwa na kituo cha channel ten.

Eti wakajidai walitaka kujitolea damu mt meru wakanyimwa!hawajui kuwa utaratibu wa kutoa damu unafanywa na Kituo cha damu salama kanda na wala sio hospitali.

Kikundi hiki kilichovalia tshirt za kuhongwa za TEAM LOWASSA kilikuwa kinaongozwa na darasa la saba mmoja anayeenda kwa jina la EZEKIELI kutoka Ngaramtoni.


wataalamu wa afya wanajiuliza kama kweli hii team lowassa ilitaka kujitolea damu kwa nini wasiende hospitali ya selian(Ngaramtoni) au OLTUMETI(NGARAMTONI)?

WATAALAMU WA AFYA WAMESIKITISHWA NA UPUUZI WA KISIASA UNAOLETWA KWENYE TAASISI ZA AFYA KISA MTU FLANI ANATAKA URAIS.

AIBU KWA VYOMBO VYA HABARI kwa kutumiwa na wajinga wajinga wa darasa la saba.



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

nilidhani darasa la saba mbowe...........!anyways
 
Hili limetokea jana tarehe 25/4/2015 mkoani Arusha.

Vijana kadhaa waliovalia tshirt zenye maandishi ya TEAM LOWASSA walivamia hospitali ya mkoa ya MT MERU wakajidai wamekuja kufanya usafi na kujitolea damu huku wakiwa wamealika waandishi wa habari.

Kwa bahati nzuri uongozi wa hospitali hiyo ya mkoa ulikuwa umegundua janja yao ya kupiga siasa kwenye huduma za kijamii na hivyo wakakataliwa kwa kuwa hawakufuata taratibu.

baada ya kufedheheshwa waliamia kwenye kituo cha afya cha levolosi bila taarifa na kutumia mwanya wa kutokuwepo uongozi katika kituo hiko kwa muda huo wa weekend wakajidai kufanya usafi na kurekodiwa na kituo cha channel ten.

Eti wakajidai walitaka kujitolea damu mt meru wakanyimwa!hawajui kuwa utaratibu wa kutoa damu unafanywa na Kituo cha damu salama kanda na wala sio hospitali.

Kikundi hiki kilichovalia tshirt za kuhongwa za TEAM LOWASSA kilikuwa kinaongozwa na darasa la saba mmoja anayeenda kwa jina la EZEKIELI kutoka Ngaramtoni.


wataalamu wa afya wanajiuliza kama kweli hii team lowassa ilitaka kujitolea damu kwa nini wasiende hospitali ya selian(Ngaramtoni) au OLTUMETI(NGARAMTONI)?

WATAALAMU WA AFYA WAMESIKITISHWA NA UPUUZI WA KISIASA UNAOLETWA KWENYE TAASISI ZA AFYA KISA MTU FLANI ANATAKA URAIS.

AIBU KWA VYOMBO VYA HABARI kwa kutumiwa na wajinga wajinga wa darasa la saba.



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA

kwahiyo hata vyombo vya habari vinakosea sana kurusha habari za mbowe kwasababu hata yeye ni std 7 hata sugu ni std 7 ddaaaaah......!poa nimeona uwezo wako lakini
 
Mtoa mada una mawazo mafupi sana na akili yako sijaelewa inasukumwa na nn!!!! Kwani darasa la saba siyo mtu
 
kwahiyo hata vyombo vya habari vinakosea sana kurusha habari za mbowe kwasababu hata yeye ni std 7 hata sugu ni std 7 ddaaaaah......!poa nimeona uwezo wako lakini
Acha kujichetua wewe! Vyombo vya habari vinatoa habari bila uchunguzi kisa vimelipwa


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Back
Top Bottom