choconorma
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 210
- 51
824KJ Kanembwa.
>usibebe vitu au nguo za thamani unaweza kuibiwa. usibebe nguo nyeupe hasa vest au under wear, zitafubaa maji sio safi.
>beba viatu/laba ngumu na soksi ndefu kabisa, usiku baridi.
>beba viwembe vingi hata 20 vya kunyolea nywele.
>beba dawa za maumivu au za kuchua kwa tahadhari tu.
>kuna vumbi sana,mafua na vikohozi ni kawaida sana so waweza beba asali kwa ajili ya koo,dawa nyingine kuna zahanati pale.
>usije jaribu kutoroka, ukiwa na shida ongea na maafande wako,pale kutoroka ni rahisi sana ila omba usikamatwe.
>ukiweza beba kijiko cha kulia msosi, watakushangaa ila ni kwa afya yako,ukinawa mikono haitakati na lile vumbi.
>mapera,mananasi,mapalachichi,machungwa,malimao yapo ila porini so ukiwa free mchana zama pori utavipata.
mengine utajua hukohuko. . kanembwa-nduta.
USISAHAU KUNYOA KIPARA MAPEMA
Okay ngoja ni wape lonja
<>Tambua ukifika cm utaikabidhi getini
<>Ucbebe mizigo mikubwa na mizito coz utabeba kichwan na ni km 5 had kufka kwenye kambi ya mazoez
<>Beba pocket money za kutosha
<>Beba tranka na kufuli imara
<>Na kama hutak kuchoka its beta ukachelewa kuripoti than kuwahi
<>Ucwe mtu wa kujaa upepo coz kuna maneno ya maudhi na karaha plus kuonewa
<>Kumbuka kusali unapopata nafasi mana hakuna muda wa kanisani wala msikitini
<>Anza kujipa mazoez nw hasa ya push up na kuruka uchura
<>Jali afya yako coz kule hamna wa kujal afya ya mwenzie
<>Ucbebe chakula chochote mana getini utanyanganywa
<>Ucbebe sahani wala kikombe mana mtapewa
<>Ucbebe camera hakuna kupga pcha kule na kwa manufaa yako beba simu ya tochi
<>Kama ni mgonjwa hasa wahaya magonjwa makubwa beba vyeti
<> Beba sabuni za kutosha na mafuta ya kutosha na dawa za mswaki.
<>Ubebe track za kutosha usiende na nguo nzur
<>Soksi beba za kutosha na kama unaweza beba hadi za kufanyia biashara
<>Jitahid ubebe raba imara hata pea tatu coz kule wanauza ghali mno
<>Ucbebe pafyum
<>Beba madaftari na peni..
Afta that welcome to 824KJ kanembwa.
mhhh!! kumbe hata wanafunzi wa Secondary nao mpo humu?
njoni nyie selule mle kazi za watu,hakuna kuanguxhia
hivi ni lazima kutumia herufi x kwenye sehemu ya herufi s,??
tuliopangwa kanembwa na yeyote mwenye uelewa wa Jkt kanembwa kigoma atusaidie mazingira na hali kwa ujumla ya kambi ya kanembwa