hahahah
mpaka huddah kakubali kwamba anauza aisee yule jamaa ni noma yaani ila huddah ndo alimuanza alikua anataka kujiona kidume hakuona zari alifyta
aisee wanaume ni nyoko muda mwingine na kaenda kutafuta vizibitisho kwamba walishawahi lala katika ile hotel
kwa hiyo nasubiri usiku huu kinaeza nuka muda wowte
hahaha acha watuongezee siku.....wewe kumpa lift tu mtu unamuanzishia uzi,,,,,,mtu kanunuliwa range for one night shopping inayoeleweka na jamaa alisema huyu huddah simtaki
na huddah alimlilia na anakwambia udhibitiasho anao
tatizo huddah ndo alianza jamaa alikua kashamaliza project yake na diamond kwamba zari aende kwa wanae