mkulu1
Member
- Nov 24, 2022
- 62
- 108
shule za serikal zitaendelea kufanya vibaya mpka mwsho wa dunia kw hii tanzania yetu mpka mwsho wa vizazi....!! uwezi sema unaboresha elimu bla kugusa watumishi wa elimu kw maana walimu yan nawashangaaga sana viongozi wanajsfu tumejenga mabweni na madarasa kadhaa wanakenua meno wakat watoto wanaokuja kusoma hapo aslimia 80 mpka 90 wanafeli hayo madarasa mmeyajenga kufugia kuku ama!! halaf wataz kuwaongoza ni rahisi sna wengi sio rational hata ukiangalia huu uzi comments z weng unathibitisha hili...
ni lazma kuwe na allowances z kutosha kama tunataka kuboresha elimu nchini mwalimu apewe motisha ya kuchapa kaz hii nchi ndyo itaendlea tutazalisha kizazi cha watu wnaofkiri vzur na wnye kuquestion utendaj wa serkal kw maslah mapana ya taifa shda hata hawa waboreshaji wnalijua hili ndy mana janja janja nying hawaboresh elimu wanajenga madarasa na madawati tu UJINGA HUU...
MFno hii shuke apa chini ina wanafunzj 473 hpa kw hakika kutakuw na madarasa na madawati ya kutosha kuna kiongoz kabsa atakuw kajmwmbafai wamejenga na kuboresha ila output yake zero kabsaa...... yaan waliopata Div 4 na Zero ni 452 waliofeli ni aslimia 96 ya wanafunzi wote MTIHANI huu wakuu TAFAKURI yangu hiii[emoji115]
TANZANIA NCHI YANGU YOOO
ni lazma kuwe na allowances z kutosha kama tunataka kuboresha elimu nchini mwalimu apewe motisha ya kuchapa kaz hii nchi ndyo itaendlea tutazalisha kizazi cha watu wnaofkiri vzur na wnye kuquestion utendaj wa serkal kw maslah mapana ya taifa shda hata hawa waboreshaji wnalijua hili ndy mana janja janja nying hawaboresh elimu wanajenga madarasa na madawati tu UJINGA HUU...
MFno hii shuke apa chini ina wanafunzj 473 hpa kw hakika kutakuw na madarasa na madawati ya kutosha kuna kiongoz kabsa atakuw kajmwmbafai wamejenga na kuboresha ila output yake zero kabsaa...... yaan waliopata Div 4 na Zero ni 452 waliofeli ni aslimia 96 ya wanafunzi wote MTIHANI huu wakuu TAFAKURI yangu hiii[emoji115]
TANZANIA NCHI YANGU YOOO