gimmy's
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 3,283
- 3,274
Salaam,
Wanabord ninaomba kufahamishwa kwa yeyote inaefahamu anisaidie kunifshamisha.
Nacte wamefungua dirisha la udahili kwa vyuo vya afya ambapo deadline ni mwisho wa mwezi huu.
Kwa kosa nililofanya la kupata control number ya 10,000 nitalazimika kuomba chuo kimoja tu hivyo nitakua na risk yakukosa nafasi.
Nimehangaika kupiga namba zao hawapokei.
Swali,je nifanyeje ni cancel hii control number ili nianze upya?
Wanabord ninaomba kufahamishwa kwa yeyote inaefahamu anisaidie kunifshamisha.
Nacte wamefungua dirisha la udahili kwa vyuo vya afya ambapo deadline ni mwisho wa mwezi huu.
Kwa kosa nililofanya la kupata control number ya 10,000 nitalazimika kuomba chuo kimoja tu hivyo nitakua na risk yakukosa nafasi.
Nimehangaika kupiga namba zao hawapokei.
Swali,je nifanyeje ni cancel hii control number ili nianze upya?