RJ45
JF-Expert Member
- May 20, 2014
- 340
- 119
ooi.... inakuwaje ukichek kwenye view selection hfu unkuta (-) au zero bro.. wanakuwa wamekupga chini nn kwa hyo facurt???
hata mm kuna moja nomeikuta onasoma 0 okanbd no remove.... cjui ndo kujaa au?!
ooi.... inakuwaje ukichek kwenye view selection hfu unkuta (-) au zero bro.. wanakuwa wamekupga chini nn kwa hyo facurt???
daaaaaah kwa hyo faculty ikishuka mpaka zero in slots wat does it mean it means umetemwa kwa hiyo faculty au????? sbb mm faculty moja inasoma 0 remaining capacity so sielew n third round
Mkmuu naomba nijibu kulingana na upepo wa tcu unapoelekea,
kwanza ucwaze kuhusu kutokuchaguliwa 2nd round, kunaraiya huku wana +B masomo yote na walijaza vzur ila wamepelekwa 3rd round
Na miongoni mwa faculty 4 kati ya zile tano walizozijaza, pia wamezikuta huku kwenye slot znazohitaji applicant, sasa unaeza jiuliza why hakuchaguliwa? Take it easy hii n tanzania
Tuje hapo kwenye kujaza slot chache,
nishauri tu kiroho safi kabisa, jaza slot zote tano kwasababu miongoni mwa wa2 waliotemwa kwenye 1st & 2nd round ni wale ambao hawakujaza slot zote tano (kama unataka ushahidi wa hili ingia kwenye page ya tcu utakutana nalo)
And thn, nipo hapa ninawaangalizia makamanda wangu wengi profile zao, na miongoni mwa wale waliojaza facult tano zenye remain capacity 31-33 now znasoma zero, means zimejaa (hapo nazungumzia hii 3rd round)
Na jana ucku niliangalia idadi ya slot zlizokuwa wazi/znazohitaji wanafunz nazo zilikuwa 489 ila kwa sasa zipo 460 means znaendelea kujihide automatic kwa jnc znavyoendelea kujaa
So ww jaza hzo slot tano hata kama course hauitaki ukifanikiwa kuchukuliwa utaenda kubadilishia huko huko chuoni ila umake sure kwamba faculty unayoichukua ya chuo husika ambayo hauitaki (ndan ya hicho chuo kunayo faculty unayoitaka)
Nawasilisha mkuu.....
Naomba msaada wakuu nimepata banking na finance IFM lakini ninataka transfer to IAA though wakati najaza ilikuwa inakataa kuwa sijasoma one of the core subjects kama economics course me nimesoma pcb form six je naweza pata transfer,,help please
kunajamaa alichagua ajuco,,, thrd round anadai saiv profile yake imekuwa provisional selected sa sielewi
ooi.... inakuwaje ukichek kwenye view selection hfu unkuta (-) au zero bro.. wanakuwa wamekupga chini nn kwa hyo facurt???
Kwa detail ambazo ninazo na ninahisi itakuwa ndivyo ilivyo ni hivi
Hiyo (-1 au -2) kwenye vyuo ni kwamba wamezidisha mtu mmoja au watu wawili, means ile holding capacity ya watu katika faculty huusika imezidishwa
Wanataka watu 100,wenyewe wamepokea 101 au 102
Kwa detail ambazo ninazo na ninahisi itakuwa ndivyo ilivyo ni hivi
Hiyo (-1 au -2) kwenye vyuo ni kwamba wamezidisha mtu mmoja au watu wawili, means ile holding capacity ya watu katika faculty huusika imezidishwa
Wanataka watu 100,wenyewe wamepokea 101 au 102
Transfer kupata cjui kwasababu wanaeza tupia mbali ombi lako la transfer kwa kigezo hicho hicho bt try,
ila kwanini unataka kuhama IFM wakati hapo kwa mambo ya accaunt ndio kigongo, yan the top according to vijana wa accaunt wanavyosema
Hiv vyuo viwili huwa vinashindana kwa kutoa vijana waliopo bright ki academic,so pia jina la chuo linawauza kwa maana nyingine
Lakin nikiangalia hata makamanda wangu wengi waliopiga diploma hapo IAA ambao saiv wameapply wanapataka sana hapo IFM, 90% wamekipa hcho chuo priority kubwa thn wakamalizia na IAA
Ila co vibaya ukifanya maamuzi binafsi coz hata mm cjui sababu yako kupataka hapo IAA
wadau habarin,me nilichaguliwa second raund pale TIA,lkn majina ya waliochaguliwa tia yametoka halaf langu halimo,msaada QUOTE]
Majina yaliyotoka yatakuwa ni ya 1st round wewe subiri 2nd round tu na usiwe na wasiwasi kabisa.wadau habarin,me nilichaguliwa second raund pale TIA,lkn majina ya waliochaguliwa tia yametoka halaf langu halimo,msaada QUOTE]
na 0 inkuwaje broo
Ukiona zero means zile remain capacity zilizokuwa zimetangazwa na chuo husika zimepata watu so zimejaa na chuo hakihitaji zaidi,na kama watachukua zaidi ya idadi ya watu waliowahitaji ndio ile unakuta negative number (-1)
Ila haina maana kwamba haujachaguliwa au ndio100% umechaguliwa
Hapana,
unaeza ukawa ni mmoja wapo kat ya wale walioifanya isome zero (means umechaguliwa) au compitition ikawa kuwa so wenzako wakakuzidi kipoint (means haujachaguliwa)
Nakumbuka makamanda wangu wa diploma wachache katika mchakato wa kuchagua vyuo, zao zilisoma zero kila choice ila mbele ya remaining capacity kulikuwa na column ya status (kwamba bwana ww upo selected hapa) licha ya kusoma zero
Ila kwa makanda wa six zao hazikuwa hivyo, wao ilikuwa wait for approve,
So kula bata mkuu wala ucwe na wasiwasi abt zero, inaeza ikawa ww n wa wait for approval
Mwaka jana round zlkuwa mbili,na wanafunz walioenda advance walikuwa 30000 kwa waliochaguliwa na serikali ila nyie mliwazidi kwasababu milikuwa 50000 na chenchi nyingi sana,sasa hapo bado wale walioghahiri kwenda chuo kwa mwaka jana wakaamua kujiunga na nyie,
So kuona 3rd round wala ucshangae,kula bata sana mkuu,kwa walioapply mwaka huu mnaeza kuwa zaidi ya elfu 60 au 70 huko (y? Tcu icweke 3rd round ambayo haiwaupdate kwa status papo kwa hapo? Majukumu mengi,n vema ukajiongeze tuh mwenyewe mkuu)kwan Tsh ngapi kujiongeza?
Nawasilisha