TCU wameshatoa guide book 2016/17?

tutegemee kesho koz kama wamesema application ni j5 tarehe 20
 

Attachments

  • Screenshot_2016-07-17-19-26-35.png
    25.6 KB · Views: 72
Mkuu kwa sasa wanafabyia marekebisho baada ya kutoa zile minimum requirements! Itatoka nadhani kabla ya tar 20/07/2016

Kumbe ITATOKA na bado HAIJATOKA sasa nani muongo kati ya mimi na wewe...#KujuaKwingiMbeleKizaaaa
 
Kumbe ITATOKA na bado HAIJATOKA sasa nani muongo kati ya mimi na wewe...#KujuaKwingiMbeleKizaaaa
Naona unataka kubishana kwa vitu vya kitoto na huelewi Kiswahili. Inafanyiwa marekebisho lakini ilishatoka kabla.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ