TCU, vijana wanahitaji code

TCU, vijana wanahitaji code

mwanahabari93

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
263
Reaction score
170
TCU ilitangaza ingetuma code kwa wanafunzi walio dahiliwa na vyuo zaid ya kimoja.. Kwa njia ya sms ili waweze kuchagua au kuthibitisha ni chuo gani wanaweza kujiunga navyo lakini TCU haijaweza kutuma code hizo hadi sasa... Na zoezi hilo kwa taarifa iliyotolewa na TCU kuwa zoezi hilo linafungwa tarehe 5(kesho)... NATUMAINI TCU INAJUA INAFANYA NINI KWAHIYO WANAFUNZI MSIWE NA MUNGU AWABARIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TCU ilitangaza ingetuma code kwa wanafunzi walio dahiliwa na vyuo zaid ya kimoja.. Kwa njia ya sms ili waweze kuchagua au kuthibitisha ni chuo gani wanaweza kujiunga navyo lakini TCU haijaweza kutuma code hizo hadi sasa... Na zoezi hilo kwa taarifa iliyotolewa na TCU kuwa zoezi hilo linafungwa tarehe 5(kesho)... NATUMAINI TCU INAJUA INAFANYA NINI KWAHIYO WANAFUNZI MSIWE NA MUNGU AWABARIKI

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwajibie TCU wao pia wana nyenzo zote za kutoa taarifa kwa umma juu ya kwa nini ucheleweshaji huu unatokea.
 
Vijana mtulie nimewapigia simu TCU wamesema code walianza Jana na kufikia SAA Tisa Leo watakuwa wamekamilisha zoezi lao...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sio vijana tu hata wazazi tunashindwa kujua na kuamini kinacho endelea na TCU wako kimya.
Kuna mmoja anasema toka subuhi anajaribu UDOM code haikubali. Tutegemee baada ya saa9 kama watu wamepata kutakuwa na kazi kwenye hii mifumo. Je ni wote watawahi kabla ya saa 5.59 usiku?
Wale walioko JKT nini kinaendelea-je ni wote walikwenda na simu zao na wanazo? Wakisha pata hiyo saa 9 je wana access na system ili watume CODE?
Kuna wale ambao mpaka sasa hivi wanajua vyuo tu walivyochaguliwa lakini sio program. Hawa mnawashauri nini?
 
Jamani hata Mimi nimechaguliwa udom na saut ila nimeongea nao hawa TCU wanasema wanaomba radhi kwa usumbufu wapo wanarekebisha makosa na wamesitisha kutuma hizo code number maana hata waliotumiwa inagoma
 
Jamani hata Mimi nimechaguliwa udom na saut ila nimeongea nao hawa TCU wanasema wanaomba radhi kwa usumbufu wapo wanarekebisha makosa na wamesitisha kutuma hizo code number maana hata waliotumiwa inagoma
Tupeni hizo namba Basi
 
Nilitumia TCU code bahati mbaya nikaifuta sms.Nifanye nini
 
Nilitumia TCU code bahati mbaya nikaifuta sms.Nifanye nini
 
Back
Top Bottom