TCU, selection lini?

Mimi nina swali. Kama wanafunzi wote tumeomba kupitia tcu ndo tunaitegemea itoe selections kabla ya vyuo husika. Je imekuwaje IFM wao wametoa? Na je kwa huyu aliyechaguliwa ifm akiingia kwenye acount yake tcu na kufungua selections results yeye anajibiwaje? Maana cc 2mezoea na kukutana na neno SORRY...........
 
Duh....
Mama yangu wewe uliye wambia ile njia yako ya kugundua kama umechaguliwa au umeachwa kama ujanja wako sasa imekwisha tapakaa mitaani huku wa2 wameamini na kuanza kuhaha. Jamani tumecheleweshwa but tuvumilie. Kama alivyosema senetor hapo juu hakuna tuition huko. &lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
<br />
<br />
 
Mimi nina swali. Kama wanafunzi wote tumeomba kupitia tcu ndo tunaitegemea itoe selections kabla ya vyuo husika. Je imekuwaje IFM wao wametoa? Na je kwa huyu aliyechaguliwa ifm akiingia kwenye acount yake tcu na kufungua selections results yeye anajibiwaje? Maana cc 2mezoea na kukutana na neno SORRY....................selection results are not yet published!
 
Guys web ya udom ina load 4 28hrs nw.. Myb wana updat matokeo. O ts only n ma side? F ts 4 all a hop myb m0ndy 2naweza c s0me changs...
 
Guys web ya udom ina load 4 28hrs nw.. Myb wana updat matokeo. O ts only n ma side? F ts 4 all a hop myb m0ndy 2naweza c s0me changs...
<br />
<br />
mwaka huu hakuna chuo knachochukua madent,so endeleen kupga temple 2.
 
Duh
acha kunipa presur mzaz tempo za ndugu azina maslah ful lawama..
Yan nataman ata niende JWTZ nikapige kwata nimechoka 0n dis life.. A wsh ningekuwa skul nagusa poreg na bens.. Tanzagiza taifa lenye udogo wenye dhambi.. I hate dis country...
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
mwaka huu hakuna chuo knachochukua madent,so endeleen kupga temple 2.
<br />
<br />
 
wanajamii hebu nisaidieni hapa!mwanzo prog zang zilkuwa nane,bt baadae nlipologin nikakuta sita(TOTAL RECORDS 6),Kwa maana mbl za mwanz hazipo,sasa ni nn maana ya hii k2?au ndo kusm kuw ktk zile mbl za mwanz mi simo tn au ndo zp kweny mchakato wa kushindanishwa na nilioomba nao?tuwekane sawa wana jf.
 
Back
Top Bottom