TCU raundi ya 5

TCU raundi ya 5

Joined
Oct 23, 2015
Posts
5
Reaction score
0
Jamani wana JF salamaa! Mimi nauliza wale wa fifth round vipi!
Maana siku zinazidi kwenda tu na majina ya mkopo ndo yashaanza kuachiliwa, sasa hawa ndugu zetu wa raundi ya tano vipi?

Mwenye idea yanatoka lini atujuze!
 
Tcu wameachia 5 round but nimepangiwa Geomatics Ardhi na siifahamu hata soko lake la ajira
 
hv tcu mwaka u aj unaaply leo chuo unapata na mkpo pia
 
Back
Top Bottom