cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,297
We ndo kichwa maji mmoja , uliyepata division four, ukasoma diploma hizo alafu unashindwa kusoma udaktari kutokana na vigezo, Ina maana diploma ya C.O hukuiona? unataka unifundishe nini?
Hizi diploma lengo lake kubwa ni kuwaspecialize watu at a lower level Ili wakivuka mitihani Yao ya Nacte na kuenda kusoma tena kitu kilekile na experience kutokana na fields walizofanya inawashape kuwa Bora zaidi kuliko kuwe na mikanganyiko kama unayoitaka.
.




hii vawulensiii kwa OP, muhurumieni bas.

