TheForgotten Genious
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 2,436
- 3,557
Waliosoma diploma ya maabara, au Pharmacy hawaruhusiwi kusoma MD, Kwa wakati huo huo aliyemaliza kidato cha sita anaruhusiwa hivi nini hoja yao kuhusu hili?
Na aliesoma cbg haruhusiwi kwenye kozi yoyote ya afya isipokuwa env. health, Wakati pharmacy Kwa diploma unaweza kusoma Kwa pass ya chemistry na biology.Waliosoma diploma ya maabara, au Pharmacy hawaruhusiwi kusoma MD, Kwa wakati huo huo aliyemaliza kidato cha sita anaruhusiwa hivi nini hoja yao kuhusu hili?
Kama bichwa lako bomu si unatulia tu we matter coreNenda kidato Cha sita
Key ni physics huyo hawezi , kwa sasa ila miaka 8 nyuma walikuwa wanachukua katika kozi ya maabara sababu ya uhitaji lakjni kwa sasa no, environmental inamuhusu sanaNa aliesoma cbg haruhusiwi kwenye kozi yoyote ya afya isipokuwa env. health, Wakati pharmacy Kwa diploma unaweza kusoma Kwa pass ya chemistry na biology.
Ss Kwa nn Kwa level ya diploma hawaangalii physics ni just chemistry na biology. Extra English na basic mathematicsKey ni physics huyo hawezi , kwa sasa ila miaka 8 nyuma walikuwa wanachukua katika kozi ya maabara sababu ya uhitaji lakjni kwa sasa no, environmental inamuhusu sana
Acha ujinga wewe.Waliosoma diploma ya maabara, au Pharmacy hawaruhusiwi kusoma MD, Kwa wakati huo huo aliyemaliza kidato cha sita anaruhusiwa hivi nini hoja yao kuhusu hili?
Huna sifa ya kusoma degree ya MD kama kigezo cha kusoma clinical medicine ulishindwa kuwa nacho.Waliosoma diploma ya maabara, au Pharmacy hawaruhusiwi kusoma MD, Kwa wakati huo huo aliyemaliza kidato cha sita anaruhusiwa hivi nini hoja yao kuhusu hili?
Kiuhalisia kwa Diploma Inabid uwe na physics na Matchs ila ndo hivyo kwa Diploma huko ni biashara za watuSs Kwa nn Kwa level ya diploma hawaangalii physics ni just chemistry na biology. Extra English na basic mathematics
Na aliesoma cbg haruhusiwi kwenye kozi yoyote ya afya isipokuwa env. health, Wakati pharmacy Kwa diploma unaweza kusoma Kwa pass ya chemistry na biology.
Phys wana angalia kwa kozi zote za afya isipokuwa pharmaceutical science.Ss Kwa nn Kwa level ya diploma hawaangalii physics ni just chemistry na biology. Extra English na basic mathematics
Ndio maana hujaenda PCB advance, ndo akili yako ilipoishiaKama bichwa lako bomu si unatulia tu we matter core
Vigezo vya kusoma diploma ya pharmacy na clinical medicine ni vile vile,aliyesoma pharmacy maake alikuwaa na vigezo vya kusoma clinical medicine sema tofautii ni kwamba diploma clinical medicine degree unaendaa MD peke yake, diploma pharmacy degree unaendaa kusoma degree ya pharmacy ko hata aliyesoma diploma ya clinical medicine na yeye pia hana haruhusiwii kusoma degree ya pharmacyHuna sifa ya kusoma degree ya MD kama kigezo cha kusoma clinical medicine ulishindwa kuwa nacho.
Ndio maana hujaenda PCB advance, ndo akili y
Phys wana angalia kwa kozi zote za afya isipokuwa pharmaceutical science.
Acha uongo wewe huwezii kwendaa kusoma diploma ya pharmacy bila kuwa na angalau D ya physicsPhys wana angalia kwa kozi zote za afya isipokuwa pharmaceutical science.
DadeqNa aliesoma cbg haruhusiwi kwenye kozi yoyote ya afya isipokuwa env. health, Wakati pharmacy Kwa diploma unaweza kusoma Kwa pass ya chemistry na biology.
Sasa mbna umeni quote tofauti na nilichoandikaa.??Acha uongo wewe huwezii kwendaa kusoma diploma ya pharmacy bila kuwa na angalau D ya physics
Diploma ya pharmaceutical science hata wenye F wanasoma ndo maana wamejazana sana hujajiuliza kwa nni?Acha uongo wewe huwezii kwendaa kusoma diploma ya pharmacy bila kuwa na angalau D ya physics
Diploma zote za afya kuanzia clinical medicine, nursing and midwifery, medical laboratory nk lazima uwe ume faulu phys ila kwa pharmaceutical science hata update mswaki unasomaVigezo vya kusoma diploma ya pharmacy na clinical medicine ni vile vile,aliyesoma pharmacy maake alikuwaa na vigezo vya kusoma clinical medicine sema tofautii ni kwamba diploma clinical medicine degree unaendaa MD peke yake, diploma pharmacy degree unaendaa kusoma degree ya pharmacy ko hata aliyesoma diploma ya clinical medicine na yeye pia hana haruhusiwii kusoma degree ya pharmacy