Ndg wana Jf kumekuwa na taarifa mkanganyiko mtaani (taarifa zisizo rasmi) kuwa vyuo vingi nchi hii vinatoa degree ambazo ziko chini ya viwango, hii inasababisha watu kutoleana maneno ya kukejeliana na kukashifiana kuhusu elimu zetu. Vyuo vinatolewa maneno machafu kutoa degree chini ya viwango ni Tumaini University, SAUTI, UDOM, TEKU, MZUMBE.
MZUMBE wanatuhumiwa kutoa masters ambazo zinaitwa njegere/maharage ya mbeya, Tumaini university degree ya sheria kutotambuliwa na waajiri na pia Masters zake kutotambuliwa na kutosajiriwa na TCU.
Je wadau ni sahihi kwa TCU kukaa kimya kwa nchi kuwa na elimu inayotuhumiwa kwa kiwango kikubwa namna hiyo?
Wadau pia naombeni tujadili ukweli wa tuhuma hizi kiundani ili kuwasaudia TCU kujua kama hawajajua au kusikia ili wachukuwe hatua stahili.
TCU chukuweni hatua au mtoe tamko kwa hizi tuhum, kama ni za ukweli bora mvifungie vyuo ambavyo vinatoa elimu chini ya kiwango na kama baadhi ya kozi hazisajiriwa inakuwaje zitolewe na nyie mpo?
mzumbe ni booonge la chuo, wacha umbea wako wewe, shule ya Mzimbe ni msuri mkali
Tafadhali, nini maana ya neno lenye rangi nyekundu?
Pili, je wakufunzi wa Mzumbe ni walewale waliokuwa wakifundisha Adv. Dip au walibadilishwa? Usisahau adv. Dip ilikuwa job oriented, low sealing. Degree ni kitu tofauti kabisa.
mkuu lonestriker muanzisha mada kaniagiza nikwambie kuwa "ulimi hauna mfupa" hope umemuelewa.
UDOM kinaitwa chuo cha kata, reason why? yeyote anaingia..Masters za mzumbe, zinaitwa VODA FASTA...once registered, tayari we ni graduate...inshort, hutofeli...na kazini wanazidiscourage sana, hasa kwa wanaoomba kazi kwa cheti cha masterz ya mzumbe....thats why, wanaosoma masters mzumbe wengi ni INSERVICE...kwa lengo la kupanda vyeo kazini na kuongeza mishahara......TUMAINI UNIVERSTY kinajulkana tanzania nzima, kuwa ni cha kizushi,....kwa sisi tulio katika industry ya HUMAN RESOURCES, i can tell u this, kila ninapoitwa kwenda kuinterview watu, graduates wa chuo cha tumaini walio wengi (si wote), huwa ni mbumbumbu...BUT wana connection na vigogo balaa, zinaangukaga simu tu, unakuta mmepeleka mapendekezo ya watu wengine..wanaajiriwa wengine.........thats all......one more thing.....tusicomment kwa ushabiki wa vyuo....bali halisi...sio kwa sababu unasoma mzumbe, ndo ukitetee...elimu yako itakuwa haijakusaidia kama huwezi kucriticize kitu hata kama una interest nacho....
Prof. fake na Dr. fake wapo pia Udsm,kwan kigezo cha ufeki kwako ni nini?Rais wako J.K ,Nyangwine nao pia si wamesoma UDSM.Mf. JK hajui kwa nin Tz ni maskin naye ni zao la Udsm.MAPROFESA WANAOONGOZA SAUT,UDOM,MZUMBE NK. Nao pia si ni mazao ya Udsm?kwa nin wasiisimamie elimu ktk vyuo vyao? Elimu imeshuka hata Udsm sio Mzumbe tu tena hv vpya vnazid kujiimarisha sna.HUJUI HATA CCM NI YA ZAMANI?
Degree ni Kitu tofauti,advanced dip ni job oriented ....hivi unasoma ili ufanye kazi au uwe tofauti, Ubora wa mtu kielimu unategemea kwa jinsi gani anajiandaa ku-face changamoto za dunia kwa msaada wa instructions kutoka kwa wakufunzi wake, wakufunzi wanapaswa wawe bora lakini mwanafunza ana-play role kubwa ili kuwa bora....