TCU na ufafanuzi wa ubora wa degree zinazotolewa na vyuo vyetu vikuu Tanzania

Mwanzilishi lazima atakuwa kasoma UDSM hii ndio wamekuwa wakieneza kila wakati....
 
Lisemwalo lipo... Mnatuogopa sn UDSM eh? Nenda ktk mazingira ya ajira waangalie wasomi wa UDSM linganisha na vyuo vingine utapata jibu!
 
Lisemwalo lipo... Mnatuogopa sn UDSM eh? Nenda ktk mazingira ya ajira waangalie wasomi wa UDSM linganisha na vyuo vingine utapata jibu!

Wakuogopwa ndio nyie!Hivi utaanza kumuogopa kwa lipi mtu ambaye ni mvivu hata kuandika neno la herufi nne tu?Mazingira yapi ya ajira kama hata kuandika sentensi moja iliyonyooka ni shida...kazi tunayo!
 
Wakuu hili la Tumaini (sheria) na mzumbe masters ni hovyo hovyo. Kama ww unayebisha ni mwajiri jaribu kuajiri graduate wa tumaini sheria uone. Wale wa masters mzumbe ni hela tu wanatoa wanapata,hakuna haja ya kusoma sana.
 
Lisemwalo lipo... Mnatuogopa sn UDSM eh? Nenda ktk mazingira ya ajira waangalie wasomi wa UDSM linganisha na vyuo vingine utapata jibu!

UDSM kilikuwepo toka Uhuru wa Tanganyika hivyo ni obvious kuwa na graduate wengi kuliko chuo kama Mzumbe na vingine vingi vilivyoanzishwa miaka ya karibuni. Lakini inakupasa utambue kuwa ukongwe wa chuo si kigezo cha kutoa elimu bora, wanafunzi wa Udsm wamekuwa wakijenga fikra kuwa chuo chao ndio baba la Universities Tanzania na hivyo kufikia hata kuwadharau waosoma vyuo vingine kinachowashangaza ni jinsi wanavyotolewa knock-out na graduate wa vyuo vingine when it comes to Employment competition matokeo yake wanaishia kusema tu kuwa elimu ya huko ni rahisi.
Nilipokuwa Undergraduate Mzumbe nilikuwa nikitaniwa sana na rafiki zangu waliokuwa Udsm kuwa cc tunafundishwa na maTutor(kitu ambacho c kweli) na wao wanafundishwa na ma Prof na Ma Dr, Baada ya kwenda Udsm kwa Shahada yangu ya Uzamili nikakuta mazingira ni tofauti kabisa, ni kweli chuo kina Profs&Drs wengi lakini wamekuwa wakidelegate kazi zao kwa waalimu wa Masters(cmaanishi kuwa hawana uwezo) tena hawana muda mrefu ktk ufundishaji, ndipo nilipoconclude kuwa tamaduni za vyuo vyetu zinafanana kwa kila kitu tofauti ni majina tu hivyo nawasihi wanaUdsm wenzangu kutokujickia kuwa wao ni bora zaidi ya wengine.

Nakiheshimu sana Udsm ila kwa hili la ku-undermine vyuo vingine HAPANA
 
Prof. fake na Dr. fake wapo pia Udsm,kwan kigezo cha ufeki kwako ni nini?Rais wako J.K ,Nyangwine nao pia si wamesoma UDSM.Mf. JK hajui kwa nin Tz ni maskin naye ni zao la Udsm.MAPROFESA WANAOONGOZA SAUT,UDOM,MZUMBE NK. Nao pia si ni mazao ya Udsm?kwa nin wasiisimamie elimu ktk vyuo vyao? Elimu imeshuka hata Udsm sio Mzumbe tu tena hv vpya vnazid kujiimarisha sna.HUJUI HATA CCM NI YA ZAMANI?
 
ulishawahi kusikia prof fake udsm au sua?

endeleeni kupiga kelele wenzenu tunaajiriwa tu utakujakushtuka na cheti chako unarudi kijijini kulaani upendeleo kazini,when you try to generalize(fallacy) others try to be unique and specific analyzers.waajiri nowdays wanaangalia competence na sio chuo...
 
Unachhosema ni kweli hat mim nliwahi kukiskia. Lakini cha kusaidiana hapa ni TCU kuthibitisha haya kwa maana wakikaa kimya badae mtu atashindwa kutetea alichonacho.
Naamini wanataaluma kama supervisors, na maprof wanasoma hbr hizi nao pia kwa nafasi yao watuambie.
TCU nao watuambie criteria za ubora wa degree/master ni zip
usitegemee chochote toka TCU, ni wababaishaji sana na sijui kwanini haijavunjwa, ni afadhali ya NACTE wapo katika uanzishwaji wanafuatilia sana lakini tcu, nahisi pesa inatembea. Mfano kuna ndugu yangu anasoma famasi Bugando univeristy ambacho sasa kinaitwa catholic university college of health sciences (CUHAS), anadai kina mwalimu mmoja tu, wengine wanatoka muhimbili kama part time. wanahisi kutokupata elimu bora, wakaandika baraza la wafamasia wawasaidie na majibu waliyopewa ni kuwa hata wao hawajui ni kwa nini TCU iwaruhusu kufundisha bachelor ya famasi wakti hawana walimu!! vile vile kwa st.john dodoma, nasikia walimu wengi wanatoka muhimbili na wako wengi kuliko hata idadi ya wanafunzi wa muhimbili wenye walimu waliobobea. Si hivyo tu, kuna jamaa yetu alidanganya cheti ati kasoma nje, akapeleka vyeti vithaminiwe na TCU, na baada ya kama ya wiki mbili akapewa barua ya kutambuliwa kwa shahada yake. Kiufupi TCU is hopeless.
 
tuache SIASA! na tuwe wakweli, kwanini GPA'S za upcoming universities ni kubwa sana? 4.8,4.7 au ndio mnafundishwa zaidi au vichwa kuliko wengine? lazima kuna tatizo kubwa kwani mliohitimu huko tumesoma na nyie advance na tunafahamiana vizuri na waalimu wenu wengi ni maTA.
 
tuache SIASA! na tuwe wakweli, kwanini GPA'S za upcoming universities ni kubwa sana? 4.8,4.7 au ndio mnafundishwa zaidi au vichwa kuliko wengine? lazima kuna tatizo kubwa kwani mliohitimu huko tumesoma na nyie advance na tunafahamiana vizuri na waalimu wenu wengi ni maTA.

Keep in mind walimu wengine wanapiga part time kwenye vyuo hivyo wakitokea vyuo vyenu vyenye GPA ndogo..kama mnavyo taka kusema....uko kwenu wanatoa ndoog uku wanatoa kubwa...

Huu ukiritimba wa mwanafunzi anasoma ... analipa ada yake vizuri ila wewe kwa kuwa ni mwalimu na ada pamoja na maisha yake ya baadae hayana impact una mdaka au basi tu kumuonyesha wewe ni lecture mkali au kujenga jina..
mzaha uo kwenye privete institute hawauchelei....unalipwa fundisha..wanafunzi waelewe ndio maana wanapata hizo GPA.
 
Ukweli ni kwamba, kwenu (upcoming universities) wanapiga blabla na kuwatahini chini ya kiwango ili mpate GPA kubwa wasinyimwe mikataba plus maTA wanaoogopa msiwagomee kwani hawapo competent. Lakini udsm/sua mziki mkubwa GPA ni kwa jasho lako tu, hii siyo sahihi ni lazima TCU wafanye kazi yao lasivyo taifa litaangamia kwa kuwa na wasomi vihiyo.
 
nilishuhudia prof.(maths) akigomewa na wanachuo Tumaini univ. kisa hagawi A's kama walivyozoea na uongozi ukaungana nao kwa kumtimua. Wakati wa lecture kimya walimwona poa. Hii ni kudhamini fedha kuliko ELIMU.
 
Huwa nashangaa taasisi za serikali mf TCU na Vyuo vya serikali wanaporumbana wakati bosi wao mmoja!
 
Wakuogopwa ndio nyie!Hivi utaanza kumuogopa kwa lipi mtu ambaye ni mvivu hata kuandika neno la herufi nne tu?Mazingira yapi ya ajira kama hata kuandika sentensi moja iliyonyooka ni shida...kazi tunayo!

ha ha haa! Nimesoma Communication skills na ndio maana hata wewe umeelewa ni neno lenye herufi nne maana ujumbe umeupata! Upo? Shauri yako wewe usoweza kurahisisha mambo maana yake wewe ni kilaza na elimu yako ya chuo gani sijui!
 
Lisemwalo lipo... Mnatuogopa sn UDSM eh? Nenda ktk mazingira ya ajira waangalie wasomi wa UDSM linganisha na vyuo vingine utapata jibu!

mzumbe ninaweza kuwatetea lakini wanaotoka udsm wengi ni wakufunzi lakini wavivu mno, watendaji wabovu na wezi wote serikalini wametoka udsm
 
TCU hawajui kazi yao au wamekabidhiwa majukumu makubwa bila ya maandalizi mazuri. Badaa ya chuo kupewa usajili ni vizuri wawe na mikakati ya kufanya ufatiliji. Kwenye baadhi ya university esp binafsi hali mbawa wataka kutengeneza faida kubwa sio wanawatumia TA. Inasikitisha kuona TA ndo mkuu wa idara nenda KIRUKI au IMTU utajionea. Dr alimaliza miaka mitani kisha intern kumfundisha mwafunzi wa u Dr mwaka wa tano(MD5) badala ya kua TA ndo machief. Watu kama hawa ndo wanaoogopa kujiunga kwenye shirikisho kozi they cant compt
 
Ndg wana Jf kumekuwa na taarifa mkanganyiko mtaani (taarifa zisizo rasmi) kuwa vyuo vingi nchi hii vinatoa degree ambazo ziko chini ya viwango, hii inasababisha watu kutoleana maneno ya kukejeliana na kukashifiana kuhusu elimu zetu. Vyuo vinatolewa maneno machafu kutoa degree chini ya viwango ni Tumaini University, SAUTI, UDOM, TEKU, MZUMBE.

MZUMBE wanatuhumiwa kutoa masters ambazo zinaitwa njegere/maharage ya mbeya, Tumaini university degree ya sheria kutotambuliwa na waajiri na pia Masters zake kutotambuliwa na kutosajiriwa na TCU.

Je wadau ni sahihi kwa TCU kukaa kimya kwa nchi kuwa na elimu inayotuhumiwa kwa kiwango kikubwa namna hiyo?

Wadau pia naombeni tujadili ukweli wa tuhuma hizi kiundani ili kuwasaudia TCU kujua kama hawajajua au kusikia ili wachukuwe hatua stahili.

TCU chukuweni hatua au mtoe tamko kwa hizi tuhum, kama ni za ukweli bora mvifungie vyuo ambavyo vinatoa elimu chini ya kiwango na kama baadhi ya kozi hazisajiriwa inakuwaje zitolewe na nyie mpo?


Mbona hata chuo kikuu Tanzania hapa Mlimani ni hivyo hivyo tu. Binamu yangu kapata masters toka mlimani na alipokwenda kuchukua elimu zaidi Ujerumani mwaka juzi aliambiwa kuwa degree yake ni batili inabidi achukue mwaka mzima kwa baadhi ya masomo ndipo aweze ku apply tena. Kiujumla, hapa Tanzania elimu imeshuka sana na walimu wengi ni wa kuchakachua tu.
 
ha ha haa! Nimesoma Communication skills na ndio maana hata wewe umeelewa ni neno lenye herufi nne maana ujumbe umeupata! Upo? Shauri yako wewe usoweza kurahisisha mambo maana yake wewe ni kilaza na elimu yako ya chuo gani sijui!


On a serious note; I have never witnessed mwanafunzi wa Mlimani ana good communication skills ondoa tu kuandika lugha ya kujitetea. Kiingereza chao kiko too weak yaani ngumbalu style ila wakiongea kwenye madaladala utadhani kinapanda kumbe, yale yaleeeee!
 
Back
Top Bottom