TCU na Kozi za Udakitari


Kadri mda unavyosonga mbele unazid kudhihirisha ukilaza wako, kwahiyo hizo shule zote 1.7 zilikuwa saba?
Alafu nimegundua kitu, wakati ww unaongea ulichohadithiwa mm nazugumzia nilichokiona, hapo ndipo tunapotofautiana,

Eti wazuri ni wengi zaid kuliko huko nyuma Ahahahaha! Kwa taarifa yako Makongo unayoiona sasa yamebaki majengo tu, ile shule ilikuwa bora enzi za Lt canal mstaafu Idd Kipingu, enzi hizo kabla ya kuingia tu fm I lazima mjaribiwe kwa mitihani ukifeli hauruhusiwi kujiunga na shule, nakumbka kulikuwaga na shift za kuingia kufanya mtihani wa kujiunga form 1 kuanzia saa 2 asbhi hadi 12 jioni kutokana na utitir wa walio taka kujiunga, ktka historia ya hiyo shule sisi ndo tuliweka record ambayo mpaka sasa haijavunjwa div 1 zaidi ya 60.


Baraza la mitihani kwa sasa limeshafuta hilo suala la mchujo kwa shule zote binafsi na serikali pia mwanafunzi una haki kulalamika endapo utapigwa panga na ukapewa haki yako,.

Hiyo Mazinde juu nina mjomba yangu anasoma hapo PCB, sasa binti analalamika anataka kuhama kwenda arts,baba yake ambaye ni mwal mkuu msaidiz shule moja ya serikali anamsisitiza akomae na PCB tu maana ana uhakika atafaulu kutokana na Mfumo wa BRN, Siku moja nilimuuliza hiv BRN inafanyaje fanyaje mpaka wanafunzi wanafaulu kirahisi rahisi tu, Akanijibu kwamba wao walimu wanapewa mikakati mingi kutoka juu ambayo kiuhalisia hayana impact yeyote kwenye performance ya mwanafunzi, yeye mwenyewe anashangaa wanafunzi wanatusua tu,

Dah! Kumbe ni mfuasi wa ukawa? I really regret wasting my energy arguing with such kind of person. .

Be prepared to attend inauguration ceremony at the National stadium after Oct 25 as Dr John Joseph Pombe Magufuri will be sworn as the next President Of The United Republic Of Tanzania.
 

Now i know the reason of why your mind is dull... It's the same reason of why you're going to cast your vote to the same system....
Doing the same thing and expecting different results is the so called '' insanity ''..
I wasted my time arguing with insane... And yet you speaking stuffs out of your conscious... i bet you know nothing about the system, you are judging a book by it' s cover, you'll always complain because, your consciousness has stacked somewhere.. We won't close our eyes avoiding to see what's the reality, And we'll have to force the darkened mind to see what they didn't see before..

It's the generation of development and achievements...
Am sorry to say '' i didn't expect someone like you to support the same system which lasted for half a century '' i feel so sorry..

Education is a powerful weapon which can be used to change the World '' we educated people we'll do that....

The only person who is educated is the one who has learned how to learn and '' change ''


Education is what remains after one has forgotten what one has learned in school
- Albert Einstein..... i bet you've forgotten everything you were taught at school... if not then you used to crame... i thought maybe civics, G. S, D. S would've helped you to decide the best not only for you but nation at large....

You're silly....
 
Vuta subira kijana na sisi mwaka Jana tulinyimwa kama wewe tukakaa nyumbani mwaka mzima.
Nmeaply muhas na nmechaguliwa hapo.
Now be patients waiting for next year.
Usihofie kupitwa ilimradi muda usikuache.!!
Naomba namba zako ndg ninashida Mara moja nataka nikuulize private
 
Dogo hakufikilia hilo, bora angeenda huko huko kwa wafanya biashara (kcmc, bugando, etc) asa hadi muhas anajaza dah ,hakuwa serious kabisa, haya mwache aumize kichwa sasa akili imkae kwanza,
Nina waswas na IQ yako
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.
Nina wasiwasi na IQ yako
 
sema familia hazna uwezo kuna vilaza weng tu wameenda IMTU,KIU na st.joseph...na GPA zao 1.7 huku waliopata GPA 3.0 familia zao hazwez kumudu gharama za prvate
waliochaguliwa st.joseph na matokeo ya credut MD waliambiwa wachague course nyngn,so walibaki kuanzia merit tu mdogo wangu ni muhanga wa hlo alkua na gpa ya 2.7
 
Nani amekwambia Medicine tunataka vilaza, tofautisha mapenzi na uwezo ,unamapenz na MD ila huna uwezo wakusoma MD ,akili zako ni ndogo mdogo wangu, MD ni akili kubwa huku.

pale kiroba kinaponyamaza na BAPA linapiga kelele
 
Mkuu bahati mbaya tu ila una matokeo mazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…