mamba1
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 466
- 248
Kama kichwa cha habari kinavyojeleza TCU na HESLB wanafungua lini?
Halafu naomba nifahamishwe tu kwa nia njema hv ni nani anaepiga deal pale kati ya
Heslb na posta kwasababu hata ukipeleka form yako manually kama uko dar wanakuambia nenda katume kwa ems nawasilisha
Halafu naomba nifahamishwe tu kwa nia njema hv ni nani anaepiga deal pale kati ya
Heslb na posta kwasababu hata ukipeleka form yako manually kama uko dar wanakuambia nenda katume kwa ems nawasilisha