ichumu lya
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 2,649
- 2,795
TCU imefungia vyuo vikuu zaidi ya 14 vikiwemo vyuo pekee viwili vya Kagera -
Chuo Kikuu Kishiriki cha Josiah Kibira (JOKUCo)
na Chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Kadinali Rugambwa(CARUMUCo)
Ninamaswali mengi lakini naamini Waziri mwenye dhamana hana majibu labda niagizo kutoka juu.
Ivi familia zilizokuwa zikihudumu kwenye vyuo hivi zitaishije? Na Maandalizi yote yakiwamo majengo hostels na miundombinu katika vyuo hivyo ni hasara ya nani? Je vyuo vinavyodaiwa na mabenki vitalipa pesa kutoka wapi?
Kweli uchumi utajengwa kwa stahili hii?
Chuo Kikuu Kishiriki cha Josiah Kibira (JOKUCo)
na Chuo kikuu kishiriki cha kumbukumbu ya Kadinali Rugambwa(CARUMUCo)
Ninamaswali mengi lakini naamini Waziri mwenye dhamana hana majibu labda niagizo kutoka juu.
Ivi familia zilizokuwa zikihudumu kwenye vyuo hivi zitaishije? Na Maandalizi yote yakiwamo majengo hostels na miundombinu katika vyuo hivyo ni hasara ya nani? Je vyuo vinavyodaiwa na mabenki vitalipa pesa kutoka wapi?
Kweli uchumi utajengwa kwa stahili hii?