john johns
Senior Member
- Feb 13, 2014
- 113
- 64
ongera bob mm nliandikiwa not found asa sielewi yani kivip not found..Mi nshaona but watu wengi walochelewa kupata tarfa mapema bado wana hangaila bob
ongera bob mm nliandikiwa not found asa sielewi yani kivip not found..Mi nshaona but watu wengi walochelewa kupata tarfa mapema bado wana hangaila bob
Hata mimi aisee not foundongera bob mm nliandikiwa not found asa sielewi yani kivip not found..
Yah wame deactivate web yao ad wa activate upya tena nadhan leo n skuku dats Y wame kaa kimya but lets wait leoongera bob mm nliandikiwa not found asa sielewi yani kivip not found..
wanadai eti maana ya not found ni umekosa watanzania bna kwa majungu awafai mm naamini tutapatatuuHata mimi aisee not found
Ulipiga ngapi ww?wanadai eti maana ya not found ni umekosa watanzania bna kwa majungu awafai mm naamini tutapatatuu
10Ulipiga ngapi ww?
pcb...ww?
Kwamtazamo wang utaenda but kama ulianza na UD kaka duh cjui mm ndomana ata habar za UD stak kuzkia na ckuiweka kabisaaaaaaaaaaaaaa na ciipend toka moyoniiiiii coznazijua akilzangi na DDE yangu presha staki kwanza kufaul kwenyew posiboMm 12 hkl nliomba education
sasa presha ya nini tulia. hii serikali safari hii haieleweki kitakachosemwa leo hakiendani na uhalisia wa kesho, tuulize tuliopitia mlango wa NACTE dana dana kibaooooAcha shobo unajuaje kama izo alama sina kama huwez kucoment unaapita tu sio mpka kila kitu uchangie mawazo
Usiwe na hofu ndugu.. Kila jambo linafata taratibu asee. Kwaiyo ww kama ujafanikiwa first round jipange kwa option za second round tareh 12/09 ili uweze kuchagua mapema kabisa kwani ni kinyang'anyiro sio siri.Jamn kila kukicha nasubir labda leo,,,,, labda kesho, na hasa tangazo lao ndo lilinichanganya kabisa,,!!!!
dah...! lala tu mtoto mzuri...tuache sisi tukeshe...naomba nijiajiri bure kukuamsha endapo watayaachia usiku huuWatu TUNAKESHA kama CNN ila mpaka saiv Holla. Mtatuua kwa presha wazeeee. Already trh 13 leo Na mzigo bado mnabana uachieni bhanaaaaaaaaaa tumechoka kusubir
mkuu kukesha hutaacha hiyo ni tabia tu.Mimi siwasubiri hao TCU ila nakesha hapa.Ila karibu sana UDOM-CIVEWatu TUNAKESHA kama CNN ila mpaka saiv Holla. Mtatuua kwa presha wazeeee. Already trh 13 leo Na mzigo bado mnabana uachieni bhanaaaaaaaaaa tumechoka kusubir
Hahahahahahahahahahahahahahaha me kichwa kk Tatu wanapata vilazaDivision three la mwisho, inakutesaa wewe, c bureee
Ata me ndo target yangu udom ila ngoj tusubirmkuu kukesha hutaacha hiyo ni tabia tu.Mimi siwasubiri hao TCU ila nakesha hapa.Ila karibu sana UDOM-CIVE