Eheee! atemwe wakati gani? ndani ya dirisha husika alilochaguliwa au mwisho wa maridisha?Mbona kitu rahisi tu. Mwanafunzi anapokuwa kachaguliwa na chuo fulani apewe muda wa kuconfirm. Ukipita huo muda chuo kimteme nafasi ibaki wazi.
sio rahisi hivyo, TCU imempa mwanafunzi uhuru usiokuwa na mipaka, ambao ni kero kwa mipango ya vyuo. Inatakiwa watoe maelekezo kwamba kama mwanafunzi haja confirm hadi wakati wa deadline ya ku upload matokeo ya dirisha afutiwe nafasi wapewe wengine.Mbona kitu rahisi tu. Mwanafunzi anapokuwa kachaguliwa na chuo fulani apewe muda wa kuconfirm. Ukipita huo muda chuo kimteme nafasi ibaki wazi.
Mkuu mbona issue ndogo tu, kwakuwa mtu anachaguliwa ndani ya dirisha, system itoe anagalau siku tatu za kuconfirm. Hiyo iwe sehem ya application. Candidate akishindwa kuconfirm system inamcancell automatically. So ndani ya wakati nafasi inabaki wazi.Eheee! atemwe wakati gani? ndani ya dirisha husika alilochaguliwa au mwisho wa maridisha?
OK, chuo kufanya hivyo TCU inaruhusu?Mkuu mbona issue ndogo tu, kwakuwa mtu anachaguliwa ndani ya dirisha, system itoe anagalau siku tatu za kuconfirm. Hiyo iwe sehem ya application. Candidate akishindwa kuconfirm system inamcancell automatically. So ndani ya wakati nafasi inabaki wazi.
Mawasiliano na makubaliano yaoOK, chuo kufanya hivyo TCU inaruhusu?
Safi iko waziMbona kitu rahisi tu. Mwanafunzi anapokuwa kachaguliwa na chuo fulani apewe muda wa kuconfirm. Ukipita huo muda chuo kimteme nafasi ibaki wazi.
Wanapewa mda wiki ivi ya confirmation ,mda UKiisha nafasi znapelekwa dirisha jipya wala hakuna tatizoVyuo vinachagua/dahiri wanafunzi wenye sifa kwenye vyuo vyao kwa idadi waliyopewa na TCU, lakini wanafunzi waliochaguliwa nao wana hiari ya kuukubali/confirm udahiri wa chuo kwa kutumia mtandao hadi dakika ya mwisho.
Mkanganyiko kwa vyuo uko hivi, vyuo havina uhakika ni wanafunzi wangapi watakwenda kusoma chuoni kwao, hivyo wataendelea kudahiri kwenye madirisha yote hadi mwisho wa udahiri madirisha yote yatakapofungwa. Hivyo, kuna hatari vyuo vikazidisha idadi ya wanafunzi vyuoni wakati wa harakati za kupambana na wanafunzi waliopatiwa nafasi lakini hawataki ku confirm mapema kujiunga na chuo chao. Hii inavifanya vyuo visijue mapema idadi hali ya wanafuzi watakao kwenda kusoma kwao na kuvifanya vyuo vichague/upload majina mengi kufidia wale ambao ni not conformed kwenye madirisha ya nyuma.
Ushauri wangu, TCU tafuteni njia ya kutatua shida hii inayosumbua vyuo, wanafunzi na wazazi. Kwani watoto wanaokwenda form one, form six na vyuo vya kati wanachaguliwaje?
Uwadali kama watoto kivipi? Ni watoto kama watoto wengine, nasikia wakifika huko vyuoni mambo Yao hayana tofauti sana na watoto wa sekondari. Kuna attendance madarakani vinginevyo hawaendi darasani, wanakosa mitihani bila sababu yoyote, wanachelewa madarasani pia, wanavaa vinguo kama watoto wa shule, nk.Acha uongo bhanaaaa, mfumo unaotumika saivi ndio unatumika dunia nzima kwasasa. Hao ni wanafunzi wa chuo kikuu sio watato wa sekondary uwadahili kama watoto
Aseeeeh, Nahitaji ushauri Nina mdogo wangu kaconfirm kozi bilA kuifatilia na baada ya kumuuliza kanambia ameconfirm tayari na hiyo kozi kiukweli aifahamu je anauwezo wakuconfirm chuo kingine kwa wakati huu ambapo ameshaconfirmVyuo vinachagua/dahiri wanafunzi wenye sifa kwenye vyuo vyao kwa idadi waliyopewa na TCU, lakini wanafunzi waliochaguliwa nao wana hiari ya kuukubali/confirm udahiri wa chuo kwa kutumia mtandao hadi dakika ya mwisho.
Mkanganyiko kwa vyuo uko hivi, vyuo havina uhakika ni wanafunzi wangapi watakwenda kusoma chuoni kwao, hivyo wataendelea kudahiri kwenye madirisha yote hadi mwisho wa udahiri madirisha yote yatakapofungwa. Hivyo, kuna hatari vyuo vikazidisha idadi ya wanafunzi vyuoni wakati wa harakati za kupambana na wanafunzi waliopatiwa nafasi lakini hawataki ku confirm mapema kujiunga na chuo chao. Hii inavifanya vyuo visijue mapema idadi hali ya wanafuzi watakao kwenda kusoma kwao na kuvifanya vyuo vichague/upload majina mengi kufidia wale ambao ni not conformed kwenye madirisha ya nyuma.
Ushauri wangu, TCU tafuteni njia ya kutatua shida hii inayosumbua vyuo, wanafunzi na wazazi. Kwani watoto wanaokwenda form one, form six na vyuo vya kati wanachaguliwaje?
Utakuwa ana shida... Una omba kozi usiyo ifahamu? Wanafunzi wengi wa vyuo hasa fresh from skul kama wanavyo jiita, hawa wana matatizo mengi sana, akili ina anza kutulia mwaka ukipita...Aseeeeh, Nahitaji ushauri Nina mdogo wangu kaconfirm kozi bilA kuifatilia na baada ya kumuuliza kanambia ameconfirm tayari na hiyo kozi kiukweli aifahamu je anauwezo wakuconfirm chuo kingine kwa wakati huu ambapo ameshaconfirm
Kozi zinazofahamika ni zipi? Shida ya watoto wengi huwa wanachagua kozi zile wanazozipenda wazazi wao na sio zile wanazozitaka wao. Ona mzazi kama wewe unamyumbisha mtoto kwa kisingizio eti kozi haifahamu vizuri. Kozi zote zinafahamika na zIna manufaa kwa msomaji na kwa taifa.Aseeeeh, Nahitaji ushauri Nina mdogo wangu kaconfirm kozi bilA kuifatilia na baada ya kumuuliza kanambia ameconfirm tayari na hiyo kozi kiukweli aifahamu je anauwezo wakuconfirm chuo kingine kwa wakati huu ambapo ameshaconfirm
Lawama kwa TCU ndipo inapoingia hapo. Maelezo Yao ni kwamba mwanafu mzi aachwe hadi vyuo vitakapofunguliwa. Hii inababaisha vyuo kwenye udahiri. Mwisho wake wanachagua wanafunzi wengi kuliko capacity.Wana takiwa waondolewe kila muda wa dilisha unapo pita... Ili wabaki walio hakiki nafasi zao pia itasaidia kujua nafasi zilizo bakia kwa ajili ya wengine kuomba...
Huwezi uka hifadhi nafasi kuanzia mwanzo wa dirisha mpaka mwisho kabisa alafu ukizingatia una multiple selection, hii sio sawa una kaa na nafasi kama tano zote, ambazo NNE wangeweza kupata wengine...
Wawe na muda wa mwisho wa kuhakiki nafasi...
Shida Iko kaka, hakuna kanuni inayomlazimisha mwanafunzi to confirm ndani ya dirisha husika na kuondolewa kama hajafanya hivyo kwa wakati ndani ya dirisha. Hii inavifanya vyuo viendelee kuwasubiri hawa "mabosi" hadi hapo watakapofanya uwamuzi wao wa mwisho kuhusu kozi na chuo watakacho confirm.Shida iko wapi wewe mbna kuna awamu tatu za application so ya kwanza wanachaguliwa na confirm pia tunaigia ya pili hivo hivo na tatu pia roundi izo vyuo hajapata tu idadi au makadirio
Hakuna kivip wakati waga inatolewa kama week tu ya kkonfim hiyo nikanuni toshaa kabisa so baada ya week vyuo viondoe wasio konfim woteeShida Iko kaka, hakuna kanuni inayomlazimisha mwanafunzi to confirm ndani ya dirisha husika na kuondolewa kama hajafanya hivyo kwa wakati ndani ya dirisha. Hii inavifanya vyuo viendelee kuwasubiri hawa "mabosi" hadi hapo watakapofanya uwamuzi wao wa mwisho kuhusu kozi na chuo watakacho confirm.