Marine Engineering? Inatolewa na University gani bongo? Au pale DMS? DMS kipo chini ya NACTE (sio TCU) huko ni zoa zoa tu.
Marine Engineering? Inatolewa na University gani bongo? Au pale DMS? DMS kipo chini ya NACTE (sio TCU) huko ni zoa zoa tu.
Mkuu major yangu ni bachelor of scienc in marine engineering una cha kuongeza?Ngwini limepiga 5.0 njoo Engineering uone moto
DMI nilipatafuta lakin nilipata shipping nikakimbiaMarine Engineering? Inatolewa na University gani bongo? Au pale DMS? DMS kipo chini ya NACTE (sio TCU) huko ni zoa zoa tu.
Zoa zoa ? 😂😂😂 mbona wanatoa bachrlor tangia kitaambo tu uwe unafuatilia mzee acha kupayukaMarine Engineering? Inatolewa na University gani bongo? Au pale DMS? DMS kipo chini ya NACTE (sio TCU) huko ni zoa zoa tu.
Marine engineeringAisee hii kozi gani
Tangazo la TCU haliwahusu DMI (sio Chuo Kikuu) kapambaneni huko NACTE na mafundi mchundo wenzenuZoa zoa ? 😂😂😂 mbona wanatoa bachrlor tangia kitaambo tu uwe unafuatilia mzee acha kupayuka
Hiyo miaka mingine unamuachia Nani?ivi mwaka wa mwisho ndo unakuwa displayed kama final gpa kwenye cheti?
Shipping Agency ama?DMI nilipatafuta lakin nilipata shipping nikakimbia
DMI na NIT hivi Vyuo sijui wahitimu wake wanaendaha kufanya kazi wapi. Yaan full utata bora hata ukacheze ngoma Bagamoyo (TASUBA)Marine Engineering? Inatolewa na University gani bongo? Au pale DMS? DMS kipo chini ya NACTE (sio TCU) huko ni zoa zoa tu.
Nimekuwekea hapo angalia kama hizo bachelor hazipo ,afu uspaniki mkuu naingia kwenye ajira keshokutwa tu hapa marine engineers tupo wachache sana tz hapa wengi wanachukuliwaga nje sasa endelea na hizo akili zako kwamba chuo flani hata kama kinatoa bachelor basi kipo chini ya nacte nina 5.0 nioneshe ya kwako ambayo ni kubwa au sawa na hiyo nina uhakika hata hakuna kwenye ukoo wenu aliyewahi pata hiyo ,nina option nyingi sana kwenye maisha ila spendi ku FLEX na bado AJIRA ZAKE NI UHAKIKA NAINGIA KESHO KUTWA HAPA ENDELEA KUPIGA KELELE JFTangazo la TCU haliwahusu DMI (sio Chuo Kikuu) kapambaneni huko NACTE na mafundi mchundo wenzenu
Engineer 5.0 kumbe hata ajira bado umeanza Maneno ya shombo Kama Zzuchu. Mara mpo wachache Mara Huna flexNinekuwekea hapo angalia kama hizo bachelor hazipo ,afu uspaniki mkuu naingia kwenye ajira keshokutwa tu hapa marine engineers tupo wachache sana zt hapa wengi wanachukuliwaga nje sasa endelea na hizo akili zako kwamba chuo flani hata kama kinatoa bachelor basi kipo chini ya nacte nina 5.0 nioneshe ya kwako ambayo ni kubwa au sawa na hiyo nina uhakika hata hakuna kwenye ukoo wenu aliyewahi pata hiyo ,nina option nyingi sana kwenye maisha ila spendi ku FLEX na bado AJIRA ZAKE NI UHAKIKA NAINGIA KESHO KUTWA HAPA ENDELEA KUPIGA KELELE JF
N.B
sitakaa sana kwa kuwa nina passion ya kusimamia biashara zangu am 24 by the way you are welcome .View attachment 1431045
Sent using Jamii Forums mobile app
haki ya mungu mkidhani kwa akili hizi mtaacha kulia vyuma vimekaza?DMI na NIT hivi Vyuo sijui wahitimu wake wanaendaha kufanya kazi wapi. Yaan full utata bora hata ukacheze ngoma Bagamoyo (TASUBA)
Kuliko nikasome Dmi Bora niende Mbegani nikavue dagaa-dagaa au olmotonyi kufuga nyukihaki ya mungu mkidhani kwa akili hizi mtaacha kulia vyuma vimekaza?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna kila dalili kwamba huko ndio wanaelekeaWakifika 3.2 unijulishe
So kwa akili yako , nashindwa fundisha chuo kipi? Tofautu yangu mimi na wewe ni kuwa nina uhuru wa ku apply chuo chochote kile na kuchagua module yoyote ile ya kufundisha na hapo hapo nina uhuru wa kufanyia kazi major yangu nchi nitakayotak ku apply 😂😂 5.0 ukidhani inaokotwa tu si kazi rahisi mpaka chuo kimeniomba nibaki sjui ww unafikiria kwa nn ndo mana nakwambi korona ikipunguza mashambulizi na wasomi wakarudi vyuoni ni mimi sasa kuamua je nikawe lecture mdogo kutokea tz au nika apply udsm niwapigishe pure wazembe wale 😂😂😂Tangazo la TCU haliwahusu DMI (sio Chuo Kikuu) kapambaneni huko NACTE na mafundi mchundo wenzenu
Maamuzi ni ya kwako ila nimejifunza kitu ni kuwa wanafunzi wengi (nahisi hata wewe itakuwa ulipangiwa hapo ) wa mlimani huwa mna ile superiorty complex na wakati vichwani mpo empty 😂, embu mkuu weka ya kwako wacha kuonge and narudia sidhani kama kuna mtu yeyote kwenye ukoo wako alishawahi pata hiyoKuliko nikasome Dmi Bora niende Mbegani nikavue dagaa-dagaa au olmotonyi kufuga nyuki
Yap sina flex ila nina maneni ya shombo kwa anayeleta shombo pia.nina option kubwa tuEngineer 5.0 kumbe hata ajira bado umeanza Maneno ya shombo Kama Zzuchu. Mara mpo wachache Mara Huna flex