Zinakuja kwa Bus, Ndege,Treni, aunkwa mguu?
Tar ya mwisho Ku Confirm imekaribia lakini Code hakuna, sasa vijana wetu wata confirm na non? Au watumie namba za kubuni tu?
Kuweni makini pia muwe na kumbukumbu. Au mmesahau kuwa mwisho mlisem ni Tar 6 ya Ku confirm.
Sent using
Jamii Forums mobile app