TCRA washughulikieni Halotel

Huna elimu ya kutosha kidadavua,kwenye masomo ya biashara lazima utakutana na kitu kinaitwa SWOT ANALYSIS yani STRENGTH,WEAKNESS OPPORTUNITY AND THREAT sasa nenda kajifunze nakupa homework katafute the meaning, wanachokifanya halotel ni to penetrate into market to get its market share so ni lazima wafanye tafiti hasa externally yani OPPORTUNITY&THREAT to get COMPETITIVE ADVANTAGE OVER THEIR RIVALS ili wateke soko NOTHING wanakosea, faida ipo kwa walaji kama kuna soko huria yani watoa huduma wanapo kuwa wengi, nashangaa wewe ndo kwanza unalalama,
 
Uache Kutumia Vifurushi Vya Wanachuo Bora Uendelee Kurina Asali Hapo Kaliua Tabora
 
Imefika wakati tuwe wazalendo,kama kweli hizo laini za wanachuo Hallotel kuna punguzo la kodi wamepewa na serikali,basi waziuze kwa wahusika nasio kinyume kwani inaonekana kama ni ukwepaji wa kodi pia inawaumiza competitors wake.
Roho mbaya inakuhusu,hoja zako dhaifu sana.
 
Imefika wakati tuwe wazalendo,kama kweli hizo laini za wanachuo Hallotel kuna punguzo la kodi wamepewa na serikali,basi waziuze kwa wahusika nasio kinyume kwani inaonekana kama ni ukwepaji wa kodi pia inawaumiza competitors wake.
Asante Sana Kwa Kunielewa Mkuu
 
Umetumwa na nani...siamini kama Halmashauri ya kichwa chako wewe kama mwanachuo imekutuma hivyo kanakwamba wewe ni mwanachuo milele....au mfanyakazi wa chuo nn?
 
Labda ulikwangua jini maana mama yangu alifariki **55 baada ya kunizaa mm. Isitoshe kiumri mie namzidi hata babaako, ndo maana baada ya kusoma tu nikajua kwamba ww UMEROGWA!
 
Umetumwa na nani...siamini kama Halmashauri ya kichwa chako wewe kama mwanachuo imekutuma hivyo kanakwamba wewe ni mwanachuo milele....au mfanyakazi wa chuo nn?
Busara Zangu Zilizotukuka Ndizo Zimenipa Msukumo
 
Labda ulikwangua jini maana mama yangu alifariki **55 baada ya kunizaa mm. Isitoshe kiumri mie namzidi hata babaako, ndo maana baada ya kusoma tu nikajua kwamba ww UMEROGWA!
Mkuu Pole Sana Kwa Kumpoteza Mama.
 


biashara ya soko hulia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…