TCRA wanatudanganya?

Usiwe mweupe kichwani

WhatsApp yako hata Mimi nadukua.
As long as unatumia mitandao/simu haupo salama.
Hahaha πŸ˜‚πŸ˜‚ Unabishana na WhatsApp ? Unabishana na Zucker. ?
US, UK, Germany, Finland, China, Switzerland wameshindwa.
 
Apo mjadara kushineyi wabongo tatizo Lao wajuaji Sana unapoishia kufanya Jambo mwenzako anaendelea akili hatufanani Wana jamii jamn watu wanaiba pesa Bank kupitia mitandao sembuse washindwe kudukua iyo WhatsApp
You done it all mkuu!

Watu wakiambiwa hii mifumo inadukuliwa kirahisi wanadhani tunazungumzia kisiasa kwamba tuko upande wa govt kuwaingilia falagha zao!!

But mfumo wowote unachezewa easy kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
They make a claim to be so real that we believe in them. Hiyo ni lugha nzuri ya biashara, kutengeneza uaminifu ili kumpiku telegram and viber pamoja na WeChat.

Ukweli wa mambo ni kwamba taarifa zikihitajika zinapatikana vema kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yap! Sio rahisi lkn haimaanishi haiwezekani kudukua!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ok! Science haina mipaka! Sayansi ya leo inaweza kusema kuwa ni vigumu sana kupeleka chombo kwenye jua ila haisemi kuwa haiwezekani kabisa,maybe kesho wakagundua kitu tofauti na ikawezekana kutua kwenye jua! Kwa hiyo unapoambiwa kua haupo salama 100% inawezekana kuwa kwa sasa haiwezekani ila as the time goes inaweza ikawezekana!!
 
Hakuna mtambo wa mawasiliano usioweza kuingiliwa ina maana hata wa kusimamia mawasiliano unaingiliwa tu ili mradi mtu awe na pass na awe amekubuhu kwenye IT

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo hapa kuna kozi za kuwa hacker
 
Shambulio la Vilipuzi London na KΓΆln kati ya mwaka 2015 na 2017 washambuliaji waliwasiliana kupitia WhatsApp na hili liligundulika kutokana na simu walizotumia kutupwa kandokando mwa barabara na application iliyopatikana humo ni WhatsApp, call log haikuwa na namba yoyote pia WhatsApp meseji zilikuwa zimefutwa.

Serikali ya UK iliitaka WhatsApp itoe data hizo lakini WhatsApp walisema hawana data za mtumiaji yeyote.
 
Shughuli ndio iko hapo sasa...
 
Yaani kama hao TRCA wanataka kujua unachat nn whastapp then wanakwenda kuwaomba wenye nayo Marekani ndo wacheki.
Jiwe hasitudanganye hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hujui lolote na unajifanya mjuaji, nyie ndio mnaomjaza ujinga jiwe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mfumo uliotengenezwa whatsapp baada ya facebook kuinunua unafanya isiwezekane kudukuliwa..

Watu wanadhani kuweka app ya kuona mesej za mtu kwenye simu yake ndiyo kudukua,..

Yani hata iweje hakuna mtu yeyote duniani ataona meseji zako na mtu unaechat nae bila kuishika simu yako..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera kwa kuhoa kikohozi!
Wanadhani wapo salama!
Wamiliki wenyewe wa hizo mambozi wanalia deilee na udukuzi!
Then jitu jeusi linakuja lina sema hii E2EE ndio top security!
Wewe ni mjinga ,mpumbavu, usiye na uelewa wala akili, usiyefikiria wala kuwa na heshima wala hustahili kuwepo jf..


Wenzako wanatoa hoja wewe kazi yako kutukana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna Cha kudukua Happ ila kuwa mwangalifu kwenye ma what's app group huko kumejaa mashushu wa serikali ukiropoka tu wanapeleka namba yako mbele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejitahida sana mkuu kuelezea ila umesahau kutoa ufafanuzi kwamba njia ya kwanza na tatu ndo rahisi sana.

Na hii itatokea endapo kama simu yako haina ulinzi sahihi.

Ila njia ya pili ni ndoto sababu masege inavyosafiri inasafiri kwa mgawanyiko na kila kipande kina code zake na kukutana kwake had kwa End usser mwenyew. kasome

Hivyo kudukua whattsApp ni ndoto. labda kama hamsikilizagi habari za nje haswa zile za mahakama
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…