TCRA waifungia TV Imaaan

TCRA waifungia TV Imaaan

Status
Not open for further replies.

The Fixer

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
1,365
Reaction score
596
Wadau,
Kuna sintofahamu inaendelea Tanzania kwani ile TV Imaan inayorusha matangazo yake kutoka Mji kasoro bahari imefungiwa na TCRA kwasababu ambazo mpaka sasa hazijajulikana !

Naomba mwenye ukweli hasa wa sababu iliyopelekea kufungiwa ni ipi atujuzeee !
 
Sijawahi iangalia, lakini wengi wanalia na hicho kituo cha TV, kama ni hivyo wametenda lililo jema.
 
Kama ni kweli, safi sana. Hii ilitakiwa ifanyike longtime sana.
 
Kama ni kweli, sababu ya kufungiwa mbona inajulikana, labda ulizia ni kwa muda gan, na kama kuna watangazaji watafikishwa mahakaman??


??
 
mbona mimi hapa nacheki hiyo tv imaan ama ving'amuzi vyenu hamjavipigisha shoti ya umeme???:shut-mouth:
 
Wadau,
Kuna sintofahamu inaendelea Tanzania kwani ile TV Imaan inayorusha matangazo yake kutoka Mji kasoro bahari imefungiwa na TCRA kwasababu ambazo mpaka sasa hazijajulikana !

Naomba mwenye ukweli hasa wa sababu iliyopelekea kufungiwa ni ipi atujuzeee !

mbona nachek hapa Tv Imaan au Tv zenu ndo zile zenye vichogo??
 
Bora wangeifungia Radio wakaacha TV maana radio haina maadili kabisa full of mahubiri ya chuki kwa wengine
 
mashoga na makafiri ile ndio kiboko yenu itawamulika mpaka uvunguni endeleeni kuhonga ifungiwe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom