Kirchhoff
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,955
- 8,923
Teknolojia imekuwa sasa. Kama ambavyo zama za analojia, ilikuwa ukinunua TV unapata channel zote za analojia bure.
Sasa hivi kuna Digital TV, mfano hii yangu TCL 32" Smart TV nimeunganisha kiantena cha startimes kwenye antena port yake nikanasa channel 70+ ila za ndani tatu zikaonyesha (clouds, ITV na EATV).
Channel nyingine ziko "Scrambled" na hamna namna ya kuzifungua.
Nimeona ni vyema TCRA mkaangalia namna ya kutusaidia ku "unscramble" hizo channel ili tufaidi bila kulazimika kuongeza gharama za kununua visimbuzi vingine na kuongeza bure idadi ya device nyumbani bila sababu.
Zingatia TV zenye built in Decoder ni gharama sana. Nanyi tutawafaidisha kwa msaada mtakaotupatia.
Wawekezaji pia kama Star Media StarTimes Tanzania na wengineo waangaie namna ya kutuwezesha kuona channel hizo hata kwa malipo kidogo bila gharama ya kununua ving'amuzi.
Nawasilisha.
Sasa hivi kuna Digital TV, mfano hii yangu TCL 32" Smart TV nimeunganisha kiantena cha startimes kwenye antena port yake nikanasa channel 70+ ila za ndani tatu zikaonyesha (clouds, ITV na EATV).
Channel nyingine ziko "Scrambled" na hamna namna ya kuzifungua.
Nimeona ni vyema TCRA mkaangalia namna ya kutusaidia ku "unscramble" hizo channel ili tufaidi bila kulazimika kuongeza gharama za kununua visimbuzi vingine na kuongeza bure idadi ya device nyumbani bila sababu.
Zingatia TV zenye built in Decoder ni gharama sana. Nanyi tutawafaidisha kwa msaada mtakaotupatia.
Wawekezaji pia kama Star Media StarTimes Tanzania na wengineo waangaie namna ya kutuwezesha kuona channel hizo hata kwa malipo kidogo bila gharama ya kununua ving'amuzi.
Nawasilisha.