doh mm simoumwambie pia akidakwa ni milioni 10
Lenovo A30000-Hhata mimi iko hivi!!! simu yako ni model gani?
Ifungue tuuu usihangaikeNina note 3 N9005, haipigi simu wala SMS(NO service), lakini Inawasha data vizuri tu, 4g tena na inafungua internet, nikituma IMEI yake kwa TCRA, model ya simu inakuja n900t wanasema simu yangu imefungiwa, niwasiliane na mtoa huduma wangu, nahisi kama hawa jamaa wamekoseaaaaa...kuna msaada wowote?
shkamo mchajikobeIfungue tuuu usihangaike
kwa sharti hio nishafeli, maana ni miaka tele..enzi hizo huoni haja ya kuhifadhi risiti!
thanx, nitafanya hivo.
Ingia hapa Check IMEI - IMEI.info then uingize imei namba za hiyo simu,itakuletea specifications zote. Na kama ni fake itakuambiakuna imei checker app or nini kaka?
ohoo....nimeangalia... imekuja model tofauti, like SM-N900 .Ingia hapa Check IMEI - IMEI.info then uingize imei namba za hiyo simu,itakuletea specifications zote. Na kama ni fake itakuambia
ohoo....nimeangalia... imekuja model tofauti, like SM-N900 .
yeah, inabidi niwe mpole tu!!!!!!!!🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁🙁