Mu-sir
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 3,621
- 1,629
Wakuu jana nilichelewa kulala kidogo na nikawa nasikiliza redio (it was Clouds Fm) na ilikuwa mida ya kipindi kilichoitwa 'ALA ZA ROHO' na Loveness Love. Of course alikuwa na mada nzuri kuhusu usafi wa maeneo 'nyeti'. Lakini kilichonishangaza ni yeye alipotaja maeneo ya mwanaume yaa korodani bila ya kupunguza ukali wa neno lenyewe namaanisha alikuwa anatamka neno PUMBU kama lilivyo. Hivi kwa maadili yetu hii ni sahihi? Kwanini watu wa TCRA wasichukue hatua stahiki? Nawasilisha (i stand to be corrected).