TCRA mna habari na message hii?

MIGNON

JF-Expert Member
Nov 23, 2009
4,081
5,061
Jana usiku nilitumiwa message ifuatayo ambayo naamini imeelekezwa kwa Waislamu.
TCRA mlishindwa kushughulikia message iliyotumwa kwa namba ya Ulaya wakati wa kampeni.Hii ya leo inaonyesha mbegu ya udini inavyopandwa na wote tunajua hatari ya udini.Hata kukemea inatosha kuliko kukaa kimya.

“Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini”

Aliyenitumia namfahamu nae anadai katumiwa na mwanaharakati.
 
Acheni kuingia ktk mtego wa udini ambao CCM imekuwa ikiutega na kuwakamata watu wengi. Kukemea ufisadi sio udini. Nina imani kama una busara sidhani kama utaingia mtegoni kiurahisi.
Ufisadi ni ufisadi tuu na unatakiwa ukemewe na upigwe vita na haijalishi Raisi akiwa mristo, mwislamu, Jehova, Bohora, ama Budhha kama ni fisadi lazima aambiwe ukweli.
 
Jana usiku nilitumiwa message ifuatayo ambayo naamini imeelekezwa kwa Waislamu.
TCRA mlishindwa kushughulikia message iliyotumwa kwa namba ya Ulaya wakati wa kampeni.Hii ya leo inaonyesha mbegu ya udini inavyopandwa na wote tunajua hatari ya udini.Hata kukemea inatosha kuliko kukaa kimya.

“Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini”

Aliyenitumia namfahamu nae anadai katumiwa na mwanaharakati.

udini unapandikinza na watui kama ww eneza naendeleo ya nchi sio chuki
 
Msibishe tu,El-baradey kule Misri alifanya nini? Lisemwalo lipo na kama halipo basi linajongea.Nyaraka za siri makanisani wakati wa uchaguzi sasa zikowazi.Uchochezi ni mkali kupita maelezo,mi binafsi ni Muislam na mahali pa shughuli zangu asilimia 99.8 ni wakristo kwahiyo hapa napata mengi sana tena sana.Naomba leo niishie tu hapa kwani huko tunakoelekea ni kubaya sana.
 
Msibishe tu,El-baradey kule Misri alifanya nini? Lisemwalo lipo na kama halipo basi linajongea.Nyaraka za siri makanisani wakati wa uchaguzi sasa zikowazi.Uchochezi ni mkali kupita maelezo,mi binafsi ni Muislam na mahali pa shughuli zangu asilimia 99.8 ni wakristo kwahiyo hapa napata mengi sana tena sana.Naomba leo niishie tu hapa kwani huko tunakoelekea ni kubaya sana.

Acha upuuzi wewe!!
 
Before God we are all equally wise - and equally foolish. Mwenye mawazo ya uislamu au ukristo kwa nia kutafuta madaraka au kubakia kwenye madaraka na wote walaaniwe accordingly.
 
Msibishe tu,El-baradey kule Misri alifanya nini? Lisemwalo lipo na kama halipo basi linajongea.Nyaraka za siri makanisani wakati wa uchaguzi sasa zikowazi.Uchochezi ni mkali kupita maelezo,mi binafsi ni Muislam na mahali pa shughuli zangu asilimia 99.8 ni wakristo kwahiyo hapa napata mengi sana tena sana.Naomba leo niishie tu hapa kwani huko tunakoelekea ni kubaya sana.

mkuu umechangia mada au umeanzisha yako ndani ya hii. Inaongelewa sms ambayo inatushangaza we unakuja na madai mapya!du!
 
Msibishe tu,El-baradey kule Misri alifanya nini? Lisemwalo lipo na kama halipo basi linajongea.Nyaraka za siri makanisani wakati wa uchaguzi sasa zikowazi.Uchochezi ni mkali kupita maelezo,mi binafsi ni Muislam na mahali pa shughuli zangu asilimia 99.8 ni wakristo kwahiyo hapa napata mengi sana tena sana.Naomba leo niishie tu hapa kwani huko tunakoelekea ni kubaya sana.

shit!!!
 
MARECHE,tafadhali tumia akili na busara kidogo.Soma kitu nilichoandika kwa umakini,ni wapi nina eneza udini zaidi ya kuwaomba TCRA wakemee message kama hizi?Mnashusha hadhi ya jamvi.
 
Msibishe tu,El-baradey kule Misri alifanya nini? Lisemwalo lipo na kama halipo basi linajongea.Nyaraka za siri makanisani wakati wa uchaguzi sasa zikowazi.Uchochezi ni mkali kupita maelezo,mi binafsi ni Muislam na mahali pa shughuli zangu asilimia 99.8 ni wakristo kwahiyo hapa napata mengi sana tena sana.Naomba leo niishie tu hapa kwani huko tunakoelekea ni kubaya sana.

you have been successfully seduced by a Satan
 
Faith without reason is a blind faith which could be labeled any name; superstition, sorcery, wendawazimu and what have you. What has religion to do with chadema in the light of what they are enlightening Tanzanians. Watu wanaoshabihisha wanayoelimisha cdm na udini ni irrational na WAO NI SEHEMU YA MATATIZO YA TANZANIA. Please get out of your reasoning holiday. Truth is objective hasa linapokuja suala la kujadili maendeleo ya taifa unless tunafanya tu ushabiki which should not be the case. Get out of your irrationality slumber you odd guys
 
"Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini"

Bilioni 20??????????
Hapo penye red, kumbe nayo imeshakuwa mikoa?
Duh!
Kweli Tanzania inazeeka vibaya..
 
Mkuu umesema uchohezi ni mkali kupita maelezo, na ukadai wewe ni muislam na ukazidi kwenda mbele zaidi kwa kutuhabarisha kuwa sehem unayofanyia kazi 99.8 asilimia ni wakristo. Je uchochezi unaouzungumzia ni upi na unataswira gani na kwa ukubwa upi labda, em lete ushahidi ili tuamini yale unayoyazungumzia kutuambia eti sehemu unayofanyia kazi wakristo ni wengi na wewe pia ni muislam bado haitoshi. Na je kama ulishaiaminisha akili yako kuwa tunakoelekea ni kubaya unataka na wengine pia waamini pasi na ushahidi kuwa huko tuendandako ni kubaya! Mkuu lipokuja swala la udini akili inabidi ifanye kazi sana, jaribu kuwa makini vinginevyo punguza bla-bla zako.
 
Ila kwa ujumla huo ni uzushi mtupu. Lakini hao wanaodanganywa wajipange kwelimweli kwani hiyo mikoa ina wanaume haswaa... Wakiingia mjini wala tende na halua hamtasimama nao. Bora mjikite katika kujiletea maendeleo yenu badala ya kujihusisha na chokochoko za kugombanisha watanzania. Kama mna hamu ya vita si mkamsaidie swahiba yenu ghadafi libya,
 
Busara ya kawaida ingemfanya aliyepokea message hiyo akae kimya badala ya kuileta hata na kuifanya mada kubwa !

Hao TCRA wenyewe usingizi mzito hata kwenye masuala ya msingi kama watumiaji wengi wa simu tunavyodanganywa kuhusu promotion ambazo si za kweli hawasemii lolote, ndio uje uwategemee kwenye uzushi kama huu naamini itakuwa sio rahisi.
 
Jana usiku nilitumiwa message ifuatayo ambayo naamini imeelekezwa kwa Waislamu.
TCRA mlishindwa kushughulikia message iliyotumwa kwa namba ya Ulaya wakati wa kampeni.Hii ya leo inaonyesha mbegu ya udini inavyopandwa na wote tunajua hatari ya udini.Hata kukemea inatosha kuliko kukaa kimya.

"Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini"

Aliyenitumia namfahamu nae anadai katumiwa na mwanaharakati.
CCM ndio wachochezi, lakini namshukuru mungu kwamba watanzania si mabwege na wanalotaka wasambaza message hawatalipata
 
Back
Top Bottom