Jana usiku nilitumiwa message ifuatayo ambayo naamini imeelekezwa kwa Waislamu.
TCRA mlishindwa kushughulikia message iliyotumwa kwa namba ya Ulaya wakati wa kampeni.Hii ya leo inaonyesha mbegu ya udini inavyopandwa na wote tunajua hatari ya udini.Hata kukemea inatosha kuliko kukaa kimya.
Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini
Aliyenitumia namfahamu nae anadai katumiwa na mwanaharakati.
TCRA mlishindwa kushughulikia message iliyotumwa kwa namba ya Ulaya wakati wa kampeni.Hii ya leo inaonyesha mbegu ya udini inavyopandwa na wote tunajua hatari ya udini.Hata kukemea inatosha kuliko kukaa kimya.
Mpango wafichuka!!!Chadema wametenga bilioni 20 za chakula,malazi na kusafirisha vijana toka mikoa ya Mwanza,Musoma,Mbeya,Moshi na Arusha kupelekwa jijiniDar kwa ajili ya maandamano ya kuikataa serikali ya JK.Makanisa yanaendelea na mikutano huko Mbeya.Tujipange,tuma kwa mwanaharakati unaemuamini
Aliyenitumia namfahamu nae anadai katumiwa na mwanaharakati.