TCRA mmeshindwa au mnashirikiana? Huu wizi wa TIGO sasa unatisha

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,798
71,218
Watu wanaweza kuona ni jambo dogo katika huu wizi wao wa vifurushi vya MB kwani wanapigwa kidogo kidogo yaani elfu 2 au 3 kila wakati lakini jee kama wana wateja milioni 2 au 3 wanafanyiwa hivyo ni kiasi gani kinaibiwa kwa siku au mwezi?

Yaani unahakikisha settings zako za simu ziko saw a kabisa na unaweka GB zako 3 au 5 lakini katika matumizi ambayo unahakika hata GB 2 hazijatumika unakuta kifurushi ni almost empty.

Hiyo mitambo yao TCRA wanaihakiki? Mbona malalamiko haya yamekuwa sugu sasa na wao hawahangaiki kufatilia na kutoa taarifa?

Au kimekuwa chanzo kingine cha mapato ya serikali hivyo ni ushirika wao TCRA na mitandao?
Au maofisa was TCRA wako kwenye payrolls za makampuni haya ya simu maana kwa faida ya wizi wanayoipata hata kuwaingizia 50m wahusika kwenye accounts zao abroad inawezekana bila chenga kabisa.
 
Ninaline mbili, ya tigo na Halotel, ni mwaka wa nne sjawahi kuiwekea salio line ya Tigo, Maana nawajua hawa jamaa, line ya Tigo ni ya kupokelea tu nikipigiwa
 
Hivi kwenye biashara ya ushindani kama huu kwa nini unaendelea kuwakumbatia. Maana ya ushindani ni kuwanyoosha watu kama hawa. Aamke siku moja ajikute hana wateja.
 
Ila ujinga ni wetu wenyewe kwanini bado tunawang'ang'ania...? Mbona mitandao nafuu ipo mingi tu

Tigo na voda ninazo ila sikumbuki mara yamwisho kutumia ni lini..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaweza kuona ni jambo dogo katika huu wizi wao wa vifurushi vya MB kwani wanapigwa kidogo kidogo yaani elfu 2 au 3 kila wakati lakini jee kama wana wateja milioni 2 au 3 wanafanyiwa hivyo ni kiasi gani kinaibiwa kwa siku au mwezi?

Yaani unahakikisha settings zako za simu ziko saw a kabisa na unaweka GB zako 3 au 5 lakini katika matumizi ambayo unahakika hata GB 2 hazijatumika unakuta kifurushi ni almost empty.

Hiyo mitambo yao TCRA wanaihakiki? Mbona malalamiko haya yamekuwa sugu sasa na wao hawahangaiki kufatilia na kutoa taarifa?

Au kimekuwa chanzo kingine cha mapato ya serikali hivyo ni ushirika wao TCRA na mitandao?
Au maofisa was TCRA wako kwenye payrolls za makampuni haya ya simu maana kwa faida ya wizi wanayoipata hata kuwaingizia 50m wahusika kwenye accounts zao abroad inawezekana bila chenga kabisa.
Kuna hawa majambazi wengine VODACOM TANZANIA hawa wezi ni wezi matapeli wa vifurushi vyao wasenge sana naombeni kujua ni mtandao upi uko salaama kwa vifurushi vyao siitaki vodacom,airtel,tigo hawa wote ni majambazi tu hakuna lolote washenzi hao na TcrA wamekaa kimya tu mnaboa sana
 
Wewe utakuwa mmoja wa wafaidika wa wizi huu. Yeye kaanzisha thread kwani wewe.ulilazimika ku comment?

Wizi upo siku hizi tena wa kiwango cha CORONA Virus. Mleta nyuzi hajakosea hata neno moja. Hizo iphones hatujaanza kutumia leo na jana. Hawa wamekusudia kutuibia tu ku compesate zile lines zilizofungwa.
Umemjibu kistaarabu sana, pengine ningemjibu mie ningepotoka. Hizo setting asemazo tumezizungumza humu muda mrefu na wadau wametoa shule nzuri.
Suala LA kusema kampuni ni kubwa wizi huo ni mdogo hawawezi kujishughulisha nao ni ujinga. Hivi anajua kuwa kama wateja milioni 5 ukiwapiga elfu 2 tuu ni sawa na bilioni 10? Hata mabenki zile charge ndogo ndogo za mia tano kwa transaction Fulani ndio uhai wa bank hizo.
 
We bwege unadhani hatujui kuwa auto updates zinakula bando? Issue ni kwamba vipimo vyao vinadanganya tatizo hili lipo pia kwa halotel, Kuna siku Tigo walinirudishia baada ya kuripoti TCRA wakaona isiwe kesi wakarudisha, so nikweli Tigo na Halotel ni wezi
Sijui kwenye hilo la kurudisha huyo mtetezi atarudi kutujibu nini?
 
unadhan wenyewe hawajui izo kbs zinakuwa zinatembea sio kawaidaaa na izo app zinasoma data ambazo zinatumika tu lakin IT WA HII MITANDAOO Nid shidaaaaaah tena na ivo vi GB monitor mnavitoa shamba la bibi play store ndo wale wale
kama mfuayiliaje apps za ukwel zinazo fanyaga kazi kwel kwa kufuata intrusction kwel huwa hazikaai baada ya mda zinatoka mnaachiwa games tu na tutoi toi
Usikurupuke. Kumaaplication zinatumika kusoma ni kiasi gani cha data umetumia kwa muda flani. Mfano niunge data GB 10. Nitumie kwa masaa 10. Itasoma umetumia kiasi gani ndani ya masaa ayo.View attachment 1428529

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jiunge na Voda. Naona wamejirekebisha. Kuna kifurushi kinaitwa Jimwage unanunua kwa Tshs.15,000 unatumia mwezi mzima.
 
Ila ujinga ni wetu wenyewe kwanini bado tunawang'ang'ania...? Mbona mitandao nafuu ipo mingi tu

Tigo na voda ninazo ila sikumbuki mara yamwisho kutumia ni lini..

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunang'ang'ania kwa sababu za kijiografia mkuu.

Walioko Dar sikatai, unabadili line kama nguo lakini maeneo mengine ni kitendawili kisicho na majibu.

Mfano mtu anaongelea habari za matumizi ya line ya TTCL, wengine tunabakia tunashangaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom